Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,599
Wakuu habari za majukumu.
Naomba kujua wapi nitapata mashine ya kupukuchua mahindi (kutenganisha mahindi na magunzi yake).
Niko nje ya Dar, kama unayo mashine ya namna hiyo naomba unipe bei,uwezo wake na picha zake.
Note: Nataka kununua sio kukodi.
Natanguliza shukrani
sent from Sokoro nkorambokande
Naomba kujua wapi nitapata mashine ya kupukuchua mahindi (kutenganisha mahindi na magunzi yake).
Niko nje ya Dar, kama unayo mashine ya namna hiyo naomba unipe bei,uwezo wake na picha zake.
Note: Nataka kununua sio kukodi.
Natanguliza shukrani
sent from Sokoro nkorambokande