Mashamba ya mikorosho na bei zake

Mashamba ya mikorosho na bei zake

bandomi

Member
Joined
Dec 3, 2017
Posts
8
Reaction score
11
Habari za muda huu Wajumbe, natumai ni wazima nyote. Naomba kuulizia bei za mashamba ya mikorosho na jinsi ya kuipata kwa manunuzi...
 
Njoo MASASI,shamba Lina miti 109.bei million 7.Ila kumbuka kilimo kina kupata na kukosa,hivyo usiingie kwa kutaka faida za haraka.Pia kilimo hiki hakihitaji kulima kwa simu cze utaambulia patupu,karibu.
 
Njoo MASASI,shamba Lina miti 109.bei million 7.Ila kumbuka kilimo kina kupata na kukosa,hivyo usiingie kwa kutaka faida za haraka.Pia kilimo hiki hakihitaji kulima kwa simu cze utaambulia patupu,karibu.
masasi sehemu gani?
 
Mku kama ni Namalenga, Mikangaura, Luatara na Nagaga eka moja ni bei gani
 
Swali zuri ƙaɓisa litssaiɗia wengi
 
Back
Top Bottom