Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahtaji mahema ya kununua wapi ntapata?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans. Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi Karibu sana 0654919121 0758919121 0626919121 0683928358...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mimi ni mjasliamali mdogo nahitaji kupata soko la hii bidhaa ya mbegu za mchicha lishe kwani hadi sasa nina hzo mbegu na bado sijapata soko la uhakika Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wakuu Natafuta mbegu za aloevera kwa ajili ya kuotesha. Mwenye nayo naomba ajitokeze Napatikana Ubungo DSM
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa walio TANGA natengeneza burger na pizza mda wowote kwa oda utakayotoa..they are very tasty hutajutia ukinunua.. Bei: Beef burger 3000 Chicken burger 4000 Pizza nyama 7000 Pizza kuku 8000...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Mr. Eggs Shop ni wauzaji wa mayai ya kuku wa kienyeji(kuroiler) kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order. Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) kwa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamvi kinyozi mzuri wa berbar shop anahitajika maeneo ya kigamboni
0 Reactions
1 Replies
562 Views
Helloo... Wandugu.... Naombeni sana kama una mashamba yalioko maeneo ya pwani bei kwa hekari isiwe zaidi ya 200,000/= kama unayo tuwasiliane.. Njoo dm..kutakuwa na ukaguzi wakisheria kujua kama...
0 Reactions
1 Replies
889 Views
True Ink Associates would like to announce that CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Classes is scheduled to commence on Monday 30/01/2017, Dar Es Salaam City Center. The course...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Nauza mahindi makavu kwa matumizi ya chakula na kwawatengenzaji wa vyakula vya mifugo. Niko morogoro twaweza wasiliana. 0658609050 0782822716 0765183701
0 Reactions
37 Replies
2K Views
Toyota Hilux Double cabin for sale ,Injin petrol 2Y ,manual ,gud condition ,price 10Mil ,Location Dar es Salaam ,serious buyer call 0742597424
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunafundisha masomo ya course za ualimu kama Education Phycology, Curriculum, Foundation e.t.c Tunapatikana Kinondoni Manyanya Mkabala na Shule ya Sekondari Kambangwa. Wasiliana nasi kwa: 0754...
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Ninauza kiwanja Mbagala Kiburugwa ni kama kilometa moja kutoka Mbagala Rangi Tatu. Kiwanja kina tofali 1100 na kina ukubwa wa mita 35 kwa 50. Kwa mawasiliano piga 0759199829 na 0713911399
0 Reactions
6 Replies
2K Views
0 Reactions
4 Replies
785 Views
Specification kama zinavyoonekana kwenye picha. Imetumika miaka miwili Bei 300K tu 0629992942 kuipata
0 Reactions
0 Replies
441 Views
**Offer offer offer 1. lipia Canal miezi miwili kwa 40,000/= kila mwezi. 2. Utapata wiki mbili za kifurushi EVASION+ Yenye A+ SPORT Channel number 101. Malipo ya kawaida Axcess = 20,000/=...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu nipo serious. Ninatafuta kiwanja chenye ukubwa wa zaidi 1000Sqm maeneo ya Salasala au Goba. Budjet yangu ni 10 to 12M. Kiwanja kisiwe na migogoro na kiwe karibu na barabara kuu. Mwenye nacho...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari, nipo Mwanza tafuta Vitz bei mwisho 3.5, itapungua kutokana na hali yake, iwe piston 4 na haina madeni, muuzaji awe mmiliki, ukiwa nayo nipm au weka namba ya simu...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Kiwanja kinauzwa, kipo Tua ngoma masaki, hakipo mbali na stendi mpya ya daladala TUANGOMA , Kipo kipo kwenye flat land unaanza na kujenga tu, wala uhitaji gharama za kusawazisha ardhi, ni kiwanja...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
INAUZWA Harddisk 160GB Ram 4GB Vram 1.3 GB Processor core i5 Graphic Card AMD radeon 320,000/= Maelewano yapo 0625512092 Dar es salaaam.
0 Reactions
2 Replies
581 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…