Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hyy wakuu Kwa wale watumiaji wrote wa line za chuo za Airtel naomba kufahamishwa offer zipi au vifurushi vipi viruri vinavyopatikana huko.. kuanzia dakika hadi mb(internet) Nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Habari zenu ndugu zangu wapendwa.. Nina ndugu yangu anauza gari hii pichani. Ni mpya kabisa. Bei Tshs. Milioni 60 tu. Karibu kwa mawasiliano (namba ya muuzaji): 0655 162 686. Mnaweza kucheki...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Nyumba ya kupanga ipo Arusha ni bei poa ina vyumba viwili, sebule, jiko choo bafu na store kodi ni shilingi laki mbili na nusu (250,000/=) kwa mawasiliano zaidi piga 0653954094
0 Reactions
2 Replies
782 Views
Bi Celine Ngahunga alitangazwa na majaji kuwa mshindi nambari moja katika kutengeneza keki zenye Ladha Bora katika maonyesho ya ‘’Azam Cakes and Breads Expo 2017” yaliyofanyika tarehe 17 December...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Umejiandaaje kwa mtoko wa SIKUKUU? - Je mpaka leo bado unavaa mabati? - Acha kuvaa mabati vaa SILVER ORIGINAL - Tunauza kwa gram 1 shilingi 6,000 - Bracelet ni gram 50 inaenda kwa shilingi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari. Nauza kiwanja kipo msakuzi karibu na makabe -ukubwa ni square meters 400(20 kwa 20) -kipo eneo tambarare sio bondeni ni barabarani unaweza weka frames kwa mbele -Hakina hati bado, ila ndo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Tecno camon c7 for sale bei tsh.180,000 Iko katika clean condition, haina tatizo Back camera 13mp Front camera 13mp Ram 2gb Storage 16gb Unapewa na charger na cover Contacts: 0677888412...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji Gari ya kukodi ya kubebea Taka ukubwa kuanzia tani tatu na nusu nataka bosi anipe hesabu yake kwa siku nipo mbagala
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Husika na kichwa cha habari Specification zipo kwenye picha interested? ni pm nikupe mawasiiano<br /><br />
0 Reactions
0 Replies
423 Views
Simu za mezani zinazotumia double laini . betri ya kuchaji . inatuma sms . fm radio, GPRS nk. . Bei sh.135,000/= full box [emoji403] + FREE DELIVERY NB: Ukiitaji kwa bei ya jumla zipo. ...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wakati naendelea na mazungumzo ya kibiashara kwenye gari la awali >> Car4Sale - Nauza gari, Milioni 60 tu.. Vyuma vimekaza! Napenda kuwaletea gari lingine wanunuzi wanaohitajia kuanza yema mwaka...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Jamani wana jf, nahitaji tecno cx used mwenye nayo aje kwa 0620436634
0 Reactions
2 Replies
591 Views
S6 edge+ iko kwenye hali nzuri kabisa On sale 550000/= CONTACT :0759283908 (
0 Reactions
0 Replies
555 Views
Habari wana JF nauza laini tajwa hapo juu kwa bei ya sh.300,000 kwa zote mbili ukitaka moja bei ni 150,000 karibuni napatika iringa.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema mwenye usafiri binafsi siku hiyo ili tuchangiane pesa ya mafuta lakini lisiwe lorry nichek 0787384659.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nini: Eneo la mchanga lenye ukubwa wa hekari 31(thelathini na moja) linauzwa Wapi: Wilaya ya Mkuranga, Kijiji ni Mwanambaya,Ukitokea Kongowe (Kupitia Kilwa Road),ni Kilometa sita toka kinapoanza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu. Nini: Eneo la shamba lenye ukubwa wa heka moja linauzwa kwa laki tano. Wapi: Morogoro, kilomita 20 toka msamvu kuelekea Dodoma, kilomita nane toka barabara kuu iendayo Dodoma...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Samsung Galaxy tab A 8.0 model Sm-t355 4g+Wi-Fi 16gb ina Android 7.1 Nougat bei 330000 inapungua kidogo. Tablet bado ipo fresh. Tablet ipo Moshi,KILIMANJARO.
0 Reactions
1 Replies
886 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Naulizia mwenye wale samaki wa urembo wa kufuga. Mimi nipo maeneo ya dodoma. Kama unao nicheki pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…