Gari lingine hili linahitaji Milioni 9.5 tu

Gari lingine hili linahitaji Milioni 9.5 tu

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,881
Reaction score
6,377
Wakati naendelea na mazungumzo ya kibiashara kwenye gari la awali >> Car4Sale - Nauza gari, Milioni 60 tu.. Vyuma vimekaza!

Napenda kuwaletea gari lingine wanunuzi wanaohitajia kuanza yema mwaka mpya kwa bei rahisi kabisa ya Milioni 9 na nusu pekee..

3.jpg
4.jpg


Sitarajii tangazo hili kumaliza siku 3..
 
Toa maelezo ya kutosha mkuu. Ongeza picha pia.
 
Wawekee na mileage ili lisimalize hata siku 2
 
Aisee...nahisi sijui bei za magari kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom