Habarini za Jioni
Natafuta tender kwenye indtitutions zozote ya kysuply mkaa wa kupikia kwenye mifuko kilo -11 bei 28000 kwa mfuko.kwa kupikia ttu unahitaji robo kilo bila kuongeza chochote
Una IST na inatoa mvumo kwa nyuma, umehangaika umechoka? Tuko pamoja....Ninazo bearing za nyuma za IST kutoka Korea. Nikizifunga unaweza sinzia huku unaendesha jinsi gari lilivyokimya
Bei ni TZS...
Habari za mapambano wajasiliamali wenzangu.
Nimezalisha pilipili mbuzi zakutosha sana, kwa anaehitaji kwa matumizi mbalimbali kama vile chachandu, chill, kuuza kwa walaji wa kawaida wakiwemo...
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0622060797
0683928358...
Habari za mapambano wajasiliamali wenzangu. Nimezalisha pilipili mbuzi zakutosha sana, kwa anaehitaji kwa matumizi mbalimbali kama vile chachandu, chill, kuuza kwa walaji wa kawaida wakiwemo...
Wasalaam
Eneo limepimwa lina viwanja kumi, limezungushiwa fansi, kunamabanda ya kuweza fuga kuku 4000 na nyumba ya kuishi wafanyakazi, kisima cha maji kipo. Bwawa la Samaki (halijamaliziwa...
Wandg natumaini mpo salama.
Napangisha nyumba Dodoma mjini eneo Area E brbr ya area D jirani sana na Tanzanite Lodge, ni nyumba yenye mpangilio mzuri waweza kufanya ofisi au makazi, mimi mwenye...
Wakuu poleni na sabato,
Hali inazidi kuwa tete, nauza kiwanja kwa bei ya kutupa. Nauza kwa 5.9m, kina msingi wa kisasa ndani yake. Nipo tayari kuchukua kwa installments
Nawasilisah
Maeneo ninayohitaji ni kimara, Riverside, Mabibo mwisho na Magomeni, isiwe mbali na barabara, iwe ndani ya fence, wapangaji wasiwe wengi, maji umeme viwepo, mwenye nyumba asiwepo hapo.
Budget...
Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji fundi mwenye uwezo wa kutengeneza band saw kubwa ninasema kubwa maana yangu ni kua ile sehemu linapopita gogo panatakiwa pawe na urefu usiopungua futi 7...
Nauza kiwanja heka moja kipo tabata kinyerezi ukishuka magengeni au sitendi ya zamani kwa dala dala kutoka stendi mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 na gari dakika 7 na kuna...
Kwa picha nzuri, maridadi na murua kama hizi. Mwenye kuhitaji mchoraji, au ofisi inahitaji mchoraji ni PM au tuwasiliane kupitia 0659445718.
Mnakaribishwa, ahsanteni!
Viwanja vinauzwa arusha, mahali panaitwa mkonoo.karibu kabisa na barabara inayojengwa ya east africa.karibu na daraja linapojengwa linalotenganisha njiro na mkonoo.bei ni tshs 5,000,000/=size ni...