Habari zenu wakuu, ningependa kuwashirikisha huduma ninazotoa ni pamoja na ;
Business Cards
Flyers
Brochures
wheelcovers
Delivery note
Invoice book
receipt book.
na mengine mengi tunatengeneza...
Habari?
Kwa wale wapenzi wa riwaya, Kitabu cha Dar es Salaam usiku cha mwandishi hayati Ben Mtobwa kitapatika kuanzia tarehe 7 ya mwezi wa nane kwa bei ile ile ya shilingi elfu 10,000 tu. Kwa...
niko masaki mtaa wa slipway natafuta fundi nguo nimuajiri,awe anajua kushona nguo kwa fashion na mchoro utakaopewa na designer.....namba yangu ni 0784177507
Nahitaji chumba cha kupanga Ubungo Msewe, kikiwa master itakuwa vizuri/ kikiwa chumba na sebule na pia nyumba iwe na usalama .
Anayejua naomba tujulishane
Heshima mbele wadau
nina ka project kangu ka ujenzi wa ghorofa moja simple. sasa imefikia wakati wa kumwaga jamvi kwenye msingi kabla ya kuanza kupandisha tofali. Napenda kujua nawezaje kupata...
Wadau habarini
Nipo Dodoma, naombeni kama kuna mtu anauza ipad brand ya sumsung au dell tuwasiliane kwa nambari 0785777710. Nahitaji TABLET iwe brand ya sumsung au dell.
Asanteni
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nataka kufahamu ubora wake, ulaji wa mafuta na upatikanaji wa spare zake. Pia ili nipate iliyo bora niandae budget ya shilingi ngapi?
Ni hayo tu
Kwema wana Jamii forums?
Kama kichwa cha habari kinavyojileza
Nauza viti viwili vya kunyolea vipo katika hali nzuri sana bei ni 450,000 kwa vyote.
Kwa mawasiliano ni PM.
2018 Year is coming ! Are you expecting to take the chance to purchase a desired web hosting package at a low price? If the answer is yes, then you should not miss this collection of the best web...
Nina tv yangu led lg 43" nikiwasha ilikuwa inakata kata sauti kisha sasa hiv inawaka tu standby ila kioo hakidisplay chochote kile na ukifanikiwa kuona picha basi kioo n clear hakina mistari
Je...
Basi la new force kutoka kyela kwenda dar basi la nne Leo mmetukwaza abiria wenu. Basi la ruti za dar Moro Leo mnalifanya litoke kyela kwenda dar. Yani likijitahid speed kubwa 60. Badilikeni...
Habari wadau,
Naitaji gari ya kununua kwa mtu.
Iwe Spacio new model au IST.
Namba D ndio itapewa kipaumbele.
Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali.
Aliye na gari anitumie meseji kwenye...
Wekeza kwaajiri ya bar na Guest au dispensary nunua nyumba Kwa bei ya kutupa mil. 16 tuu Ina vyumba vitatu vya kulala,sebure jiko,kisima kirefu cha maji,frem za maduka,gypsam na Ina kiwanja...