








Shida sio gari ya Moro, tatizo ubovu wa gariKwahiyo gari ya Moro haiwezi kwenda kyela?![]()
Kwahiyo gari ya Moro haiwezi kwenda kyela?![]()
Jamaa anataka maspidiKwahiyo gari ya Moro haiwezi kwenda kyela?![]()
Route zipi labda wanaAlafu hii kampuni ya new force iko hoi Siku hizi kabisa sijui kwann?route zingine zimeshakufa kabisa
️Tunduma
️Mbeya
️Kyela
️Songea
️Arusha 
️Moro
️Kahama 
️ mwanza 
Hii kampuni ni Nzuri ndio maana huwezi kusikia wafanyakazi wakilalamikaHawa new force si ndio wachina wenyewe, inakuaje wanakua na magari mabovu, au kuna ulaji ndani ya kampuni?
Dar Khm new force tena ni katika route zao za mwanzo kbsRoute zipi labda wana
Dar️Tunduma
Dar️Mbeya
Dar️Kyela
Dar️Songea
Mbeya️Arusha
Dar️Moro
Dar️Kahama
Dar️ mwanza
Wanajitahidi sana wanaleta changamoto kwa wazawa waliokuwa wanatupandisha masufuria
Nb:mimi sio shabiki wao ni mdau wa mabus
Sent from my Redmi 4X using JamiiForums mobile app
Abiria wachache huko ndio maana wamebez kusini wanapeleka gari 8 na kurudi 8 mbeya na TundumaDar Khm new force tena ni katika route zao za mwanzo kbs
Napenda wanavyoleta changamoto ya usafirishaji abiriaMoja ya kampuni ninayoipenda sana
New force kila siku kuna basi la Kahama Dar Kahama toka walipoanzaAbiria wachache huko ndio maana wamebez kusini wanapeleka gari 8 na kurudi 8 mbeya na Tunduma
Vyuma vimekazaAlafu hii kampuni ya new force iko hoi Siku hizi kabisa sijui kwann?route zingine zimeshakufa kabisa