Nima Imma
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 2,473
- 3,697
Nina tv yangu led lg 43" nikiwasha ilikuwa inakata kata sauti kisha sasa hiv inawaka tu standby ila kioo hakidisplay chochote kile na ukifanikiwa kuona picha basi kioo n clear hakina mistari
Je shida ni nn?? Na kama ni tatizo siwez litatua mwenyewe pls ufundi gharama yake n bei gan??
Je shida ni nn?? Na kama ni tatizo siwez litatua mwenyewe pls ufundi gharama yake n bei gan??