Fundi tv msaada tafadhali

Fundi tv msaada tafadhali

Nima Imma

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2015
Posts
2,473
Reaction score
3,697
Nina tv yangu led lg 43" nikiwasha ilikuwa inakata kata sauti kisha sasa hiv inawaka tu standby ila kioo hakidisplay chochote kile na ukifanikiwa kuona picha basi kioo n clear hakina mistari
Je shida ni nn?? Na kama ni tatizo siwez litatua mwenyewe pls ufundi gharama yake n bei gan??
 
Duh hivi sikuhiz kuna mafundi TV bado!?
Nashauri kama una hela peleka kwa dealer(Agent) wa LG electronics ila sio kwa hawa mafundi nchundu.
 
Duh hivi sikuhiz kuna mafundi TV bado!?
Nashauri kama una hela peleka kwa dealer(Agent) wa LG electronics ila sio kwa hawa mafundi nchundu.
Asante sana kwa mwongozo sikujua hili kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom