Simu inauzwa HTC One m8 Bei_170,000/=

Simu inauzwa HTC One m8 Bei_170,000/=

sia books

Senior Member
Joined
Dec 23, 2017
Posts
117
Reaction score
10
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.
Simu ni NZIMA kabisa tatizo dogo lipo kwenye display ambapo kuna nyufa zinaonekana kwa mbali.

Wahi sasa kwa muuzaji makini.

Simu_0625518288 au whatsapp. 0675558824
 
d939b7d3a2a391f3f3da90c3010e7a11.jpg


Simu ina memory yenye uwezo wa 32gb
 
Camera_4mp (f/2.0) kumbuka hawa wanatumia Altra pixel sio Ultra pixel

Video_1080p@60fps,720p@120ps HDR

Secondary_5mp,f/2.0,1080@30fps,HDR

mfano wa kamera
460c37561cd8bbdb980d0cfb6613021a.jpg

27bf0ae9b5bf59df131522c20bb0bb9d.jpg
 
862f3ba892ba40f82b713f6ae24cef5a.jpg


Android_upgradable to 6.0(Marshmallow)
Chipest_Qualcomm Msm 898AB Snapdragon 801
CPU_Quad core 2.3GHZ
GPU_Adreno 330
 
Hizo nyufa mbona umezificha boss umepiga simu pale kwenye tatizo camera haija forcus ila simu iko poa inaonekana
 
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.
Simu ni NZIMA kabisa tatizo dogo lipo kwenye display ambapo kuna nyufa zinaonekana kwa mbali.

Wahi sasa kwa muuzaji makini.

Simu_0625518288 au whatsapp. 0675558824
Weka picha bhana hizi biashara zenu huwa mnazifanyaje kama vile kumuuza mbuzi kwenye gunia
 
Htc one m8 kwa 170 ni bei cheap mno.

Vyuma?
mkuu,SIO SIMU TU. hata vitabu ninauza bei cheap kwangu ni sawa tu.
Ukija kwangu kitabu kama Advanced physics ya chand nitakuuzia elfu 32,000/= badala ya 45,000/=

Advanced physics ya Nelkon nitakuuzia 48,000/= badala ya 60,000/=
.......
 
mkuu,SIO SIMU TU. hata vitabu ninauza bei cheap kwangu ni sawa tu.
Ukija kwangu kitabu kama Advanced physics ya chand nitakuuzia elfu 32,000/= badala ya 45,000/=

Advanced physics ya Nelkon nitakuuzia 48,000/= badala ya 60,000/=
.......
Una vitabu vya hadithi za wayao? Ni vya zamani mno.

Samahani mi darasani nilishapita
 
Back
Top Bottom