Tunambolea aina ya samadi mbolea za kisas kam DAP,UREA,CAN,MINJIGU,S.A tunambegu nzuri za kisas za mahind ,nyanya na mbogamboga na tunatoa mafunzo ya ujasiliamali kutengeneza wine ya nyanya TOMATO...
Habari zenu ndugu zangu
Napenda kuwajuza kwamba kama unatatizo lolote katika gari yako linalohusiana na Umeme kama vile, taa ya check engine, gari kukosa Nguvu pia kama unataka kufungiwa sound ya...
Habar wana JF,
Kama kuna mtu ana simu ya :-
Nokia 515 ( Double Line)
Nokia 215 ( Double Line)
Nokia 220 ( Double Line)
Aje inbox tufanye biashara na asiwe mbabaishaji.
Wengi hulipa mainjinia pesa nyiiingii saaana na kushindwa kumaliza ujenzi wao salama kutokan na labour charge kuwa juuuu saana. Wasiliana nami 0753093869 popote nafika.
Sasa utaweza kujenga...
Shamba lipo magoza.
Ukifika njia panda mvuti dar es salaam unaelekea upande wa kushoto utafika hadi shamba la mageleza magoza.
Ukitoka magoza unatafuta mtaa wa mji mpya.
Shamba linauzwa milioni...
Wale wa halotel naomba unitumie text namba 0620416327 niwaunganishe na jamaa anaunga bundle kwa elfu kumi unakula gb 20 kwa mwezi,binafsi ameniunga na malipo nimetuma mpesa yani akiwa anaunga na...
Salute,
Nilileta uzi wa kuuza kiwanja, baadaye nikashangaa uzi umefutwa.
Kama unalipia tangazo mngenambia nilipie tu.
Uzi wangu wa tatu mmefuta jana.
Au mnabifu na Mimi mods?
Habari zenu wana jamvi,
Kwa anayehitaji kiwanja chenye ukubwa wa ekari moja kwa ajili ya ujenzi wa makazi na biashara ani PM! Kiwanja kipo sehemu nzuri tu sio mbali na mjini na bei yake pia ni...