Shamba linauzwa heka takriban 25,

Shamba linauzwa heka takriban 25,

cumins

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2013
Posts
975
Reaction score
442
Shamba lipo magoza.
Ukifika njia panda mvuti dar es salaam unaelekea upande wa kushoto utafika hadi shamba la mageleza magoza.
Ukitoka magoza unatafuta mtaa wa mji mpya.
Shamba linauzwa milioni 50.
Anayehitaji ani pm.
Shamba lina passion takriban heka 4.
Shamba lina mitiki isiyopungua alfu ishirini.
Pamejengwa vyumba vitatu vya matofali na bati kwa ajili ya vijana wa shamba.

IMG-20180102-WA0094.jpg
IMG-20180102-WA0091.jpg
IMG-20180102-WA0064.jpg
IMG-20180102-WA0024.jpg
IMG-20180102-WA0075.jpg
IMG-20180102-WA0060.jpg
IMG-20180102-WA0096.jpg
 
Mkuu akikubali tuungane, uhakika baada ya kuvuna tunamlipa hela yake"

Kuna miundombinu gani ktk shamba hili au hakuna!?
ngojea atujibu miundo gani ipo kama kuna maji au mto karibu tunafanya kilimo cha umwagiliaji tutamlipa bila shida pesa yake
 
ngojea atujibu miundo gani ipo kama kuna maji au mto karibu tunafanya kilimo cha umwagiliaji tutamlipa bila shida pesa yake
Maji labda mchimbe
Pembeni panapita mto ambao ni wa msimu,
Kwa kipindi cha mvua huwa nawaachia wanakijiji kulima mpunga.
Kama sasa hivi wapo wengi wamekatiwa bure
 
Mkuu akikubali tuungane, uhakika baada ya kuvuna tunamlipa hela yake"

Kuna miundombinu gani ktk shamba hili au hakuna!?
Nilichimba mwaka jana kisima cha mkono kama futi 40 nilipata maji.
 
Water table haipo mbali sana sababu kuna bwawa kubwa sana katika eneo hilo
 
Magoza ni wapi mkuu
Ukifika chanika mwisho, pana barabara ya lami inaelekea mvuti,
Hapo mvuti kuna njia panda moja inaelekea mbagala ambayo ni ya kushoto, njia ya kulia inaelekea magoza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom