Suzuki every inahitajika

Suzuki every inahitajika

MfalmewaKiha

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2017
Posts
1,191
Reaction score
1,247
Salaam wakuu, Mimi niko mikoani nahitaji gari tajwa hapo juu.
2015-Every-rear-three-quarter-Japan.jpg
downloadfile.jpg
 
Asikudanganye hichi kigari kizuri mno hasa kwenye wakati huu mambo ni mazito kina cc ndogo kigumi balaaa
 
Asikudanganye hichi kigari kizuri mno hasa kwenye wakati huu mambo ni mazito kina cc ndogo kigumi balaaa
Mkuu umesema kweli,,watu watu wameshindwa kuvitunza hivyo vigari,,wanaviovalod,,vinabeba kg 350 atu wanavibebesha kg 700 to 750 wapi na wapi lzm vife
 
Unataka ya yard au ya mkononi!
Unataka auto au manual!
Bajet yako ngapi!

Ova
Yani hata km nicha mkononi, ili miradi kiwe hakicha choka, kwani cha Yard ni km sh ngapi na cha mkononi ni ngapi?
 
Mkuu sema bajeti yako,,bajeti yako itadetamain ni gari ya hali gani uitakayo,,maana ukiwa na 2m utapewa ya bei hiyo so umejipangaje?
We sema km unacho nijue, hela sio tatizo, Ndio maana Nimeomba msaada wa kukipata.
 
Yani hata km nicha mkononi, ili miradi kiwe hakicha choka, kwani cha Yard ni km sh ngapi na cha mkononi ni ngapi?
Wapakistan yard wanaziuza 8m,7.5m
Mkononi unaweza pata Kwa 5.5m mpaka 6.5m

Ova
 
We sema km unacho nijue, hela sio tatizo, Ndio maana Nimeomba msaada wa kukipata.
Nmetoka kuongea na mpakistan ana yard yke Anayo moja ya silver anaiuza 8.5m,ila ni manual,hyo 8.5 ni mpka usajili Kma itakufaa nikunganishe naye upambane naye lenye bei

Ova
 
Nmetoka kuongea na mpakistan ana yard yke Anayo moja ya silver anaiuza 8.5m,ila ni manual,hyo 8.5 ni mpka usajili Kma itakufaa nikunganishe naye upambane naye lenye bei

Ova
Km 5 anaweza kumchukua tufanye mchakato.
 
Km 5 anaweza kumchukua tufanye mchakato.
Hiyo 8.5 iko yard Chases # unafanyiwa Mpk usajili.....unaweza kuzungumza nao ukapunguziwa bei pia ....
Kwa Mln 5 hawawezi uza....lbda utafute ya mkononi

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom