ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,309
- 4,522
Habari wadau;
Kwa anayejua wapi naweza kupata vifungashio kwa Dar es Salaam au Moshi Mjini na kwa gharama nafuu anijulishe pamoja na gharama zake
Nahitaji vifungashio vifuatavyo:
Maboksi,Mifuko migumu ya plastic,Vikopo vidogo kilo moja na nusu kilo
Mwenye taarifa tupeane dili
Kwa anayejua wapi naweza kupata vifungashio kwa Dar es Salaam au Moshi Mjini na kwa gharama nafuu anijulishe pamoja na gharama zake
Nahitaji vifungashio vifuatavyo:
Maboksi,Mifuko migumu ya plastic,Vikopo vidogo kilo moja na nusu kilo
Mwenye taarifa tupeane dili