Nahitaji Vifungashio

Nahitaji Vifungashio

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,309
Reaction score
4,522
Habari wadau;
Kwa anayejua wapi naweza kupata vifungashio kwa Dar es Salaam au Moshi Mjini na kwa gharama nafuu anijulishe pamoja na gharama zake
Nahitaji vifungashio vifuatavyo:
Maboksi,Mifuko migumu ya plastic,Vikopo vidogo kilo moja na nusu kilo



Mwenye taarifa tupeane dili
 
Habari wadau;
Kwa anayejua wapi naweza kupata vifungashio na kwa gharama nafuu;
Nahitaji vifungashio vifuatavyo:
Maboksi,Mifuko migumu ya plastic,Vikopo vidogo kilo moja na nusu kilo

Mwenye taarifa tupeane dili
Kama upo dsm nenda k/koo sokoni
 
Husemi hata ulipo unasaidiwaje? Mtu wa dar anaweza kukuambia Nenda k.koo kumbe upo itigi
 
Back
Top Bottom