SEMINA MAALUMU KWA WAFUGAJI

SEMINA MAALUMU KWA WAFUGAJI

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,617
J & B ENTERPRISES TUTAENDESHA SEMINA KWA WAFUGAJI WA KUKU, MBUZI, NG’OMBE, NGURUWE NA SUNGURA.

WASILIANA NA ENG. MR. MALINGUMU (0675807782)

UPATE MAELEKEZO YA KINA.
 

Attachments

  • NKINGA.jpg
    NKINGA.jpg
    227.2 KB · Views: 61
Huyo engineer ndo atafundisha kny hiyo semina ya ufugaji?
 
Hilo jina la Injinia ni kwikwi mkuu. Kumbuka hiyo ni semina ya kufundisha wadau kujiongezea kipato, halafu mratibu/mkufunzi anaitwa Injinia MALINGUMU!
 
shule niliyosoma zamani zile tulikuwa tunapigishwa kazi yaani hatari ,Mara ukachunge ngombe, mara uwe na matuta yako ya mboga mara ubebe mbolea sasa enzi zile nilihisi kuwa ni adhabu ila umri ulivyokuja sogea nimegundua aisee hii kitu ni muhimu sana ka watoto. Hizi seminar zilitakiwe ziwe kwa watoto wadogo siyo watua wazima
 
Maisha magumu sana kudadadeki, safii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom