Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mtu aliyepo kwenye au aliye na contacts za watu wanaofanya kazi katika kiwanda cha Sukari kinachoanzishwa Bagamoyo na Bhakhressa ( Bagamoyo sugar company Limited) katika eneo LA Makurunge...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Epson L800 nzuri kwa kuprint picha na mahitaji mbalimbali inatumia external ink ipo vizuri kama unahitaji ni sms 0715387545 au piga simu TSH 650000
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nauza kabati la kuhifadhia chipsi,jiko la mkaa,jiko la kuchomea mishkaki pamoja na makalai 2 ya kukaangia chipsi.bei jumla 580,000.mawasiliano 0685787475
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Bei ni sh 250,000 maelewano yapo Simu ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote, wala mchubuko kwa mahitaji ya simu hii 0717327191 Inapatikana chuo cha uhasibu TIA
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Shamba lenye uzio la ukubwa wa heka 2.5, lipo Dar - Madale - Kisauke likiwa na mabanda ya kufugia kuku yaliyokamilika kwa vifaa vyote kwa kuku wanaoweza kufikia elfu kumi linakodishwa. Eneo ni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Shamba lenye uzio la ukubwa wa heka 2.5, lipo Dar - Madale - Kisauke likiwa na mabanda ya kufugia kuku yaliyokamilika kwa vifaa vyote kwa kuku wanaoweza kufikia elfu kumi linakodishwa. Eneo ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza gari aina ya Toyota Model: Nadia Year of Manufacture: 2000 Engine Capacity: 1990 Fuel Used: Petrol Seating Capacity: 05 Color: Silver Mileage: 88043 Registration number: T 326 DDS Ni ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari! Kuna vyumba vya kupangisha, Banana kama unaelekea kitunda... * Chumba na sebule, vyoo vya jumuia (wapangaji wanne tu). Kodi yake ni 70,000/= (miezi mitatu) * Sebule na vyumba...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Kodi frem ya biashara iliyopo maeneo ya msasani kimweri avenue + Maandazi Road opposite CCBRT Lipia Elfu 80,000 tu kwa mwezi Kwa Mawasiliano piga 0657 13 13 66
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Imetumika miezi sita. Bei -- Tsh 230000 Ipo kurasini Dare sa Salaam Simu :- 0757347907.
0 Reactions
2 Replies
601 Views
Naona sasa Tanzania imeingiliwa na michezo ya kubashiri. Sijui ni kwasababu kila mmoja amekata tamaa ya kufanikiwa kwa kutumia akili na nguvu zake mwenyewe? Au ni vile tu kumekuwa na wingi wa watu...
0 Reactions
4 Replies
23K Views
I am the one who deleted it myself. THE ITEM IS SOLD ALREADY
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kwa mtu yeyote anayeuza nyumba yake iliyopo karibu na kanisa katoliki popote pale Arusha mjini tuwasiliane.
0 Reactions
0 Replies
538 Views
Salaam wadau..nahitaji secretary katika ofisi yangu iliyopo Dsm.Vigezo Muhimu no kama ifuatavyo: 1.Lazma awe amesomea kozi ya secretarial kwa ngazi ya cheti na kuendelea. 2.Awe na ujuzi wa...
1 Reactions
0 Replies
721 Views
Assalamu alaykum waungwana. Natafuta mpishi mzuri anayeweza kupangilia menu za aina mbalimbali kwa ajili ya mgahawa wa kisasa ulioko Kinondoni. Mwenye taarifa au contact za mtu kama huyo anaweza...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wakuu. Anyone who can help me with gold detector machine au exploration companies zinazokodisha mashine naomba tuwasiliane. Napatikana kanda ya ziwa.
1 Reactions
2 Replies
919 Views
Mimi mwalimu nimemaliza chuo mwaka jana natafuta nafasi ya kufundisha (kuajiriwa) katika shule yeyote ndani ya Tanzania hii nafundisha literature & language Nimewasilisha ....
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Could you believe it? My brother invested money into some multi-level marketing scheme and lost all his money. Aw! I told him. I warned him. But he wouldn’t listen. “This platform will shake...
0 Reactions
3 Replies
927 Views
Punguzo maalumu za bei za magari kutoka Japan paka Tanzania wahi sasa Tafadhali wasiliana nasi kupata utaratibu wa kuagiza gari kwa bei nafuu na kwa muda mfupi Zaidi MAHALI – QUALITY CENTRE-...
0 Reactions
168 Replies
29K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…