Napiga picha za bidhaa zenye ubora

Napiga picha za bidhaa zenye ubora

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
3,628
Reaction score
6,561
Salamu,

Nimegundua watu wengi hawaoni umuhimu wa presentation kwenye mauzo. Unakuta mtu anarundika nguo kwenye meza na kuzipiga picha, tena kwenye giza. Wengine wanaweka picha za viwanja au nyumba kwenye jua kali au kwenye angle ambayo haipendezi. Hii nimeiona kwenye bidhaa za kila aina. Kiukweli kwenye mauzo tunachukulia mambo poa sana.

Nawaletea huduma hii ya upigaji picha zenye ubora wa hali ya juu. Hii itakusaidia hata ukimtumia mtu picha zako, kwenye whatsapp, email, facebook, jamii forum, kupatana na kwingine, bidhaa zako zimvutime mteja.

Napiga picha za aina zote, kuanzia nguo na viatu, electronics, mazao, huduma, viwanja na mashamba, nyumba na business premises, jewelry, magari, nk. Pia nafanya online video ads.

Bei zangu ni nafuu kwa sababu natambua wote tupo kwenye harakati za maisha. Kwa handbags/nguo/viatu, nina package ya chini ya kuanzia 25,000/= na hiyo package ni kwa hadi items 10. Volume ikiwa kubwa, bei ya package inapungua kidogo. Kumbuka picha hizo utazitumia muda mrefu sana na nakuhakikishia zitabadilisha biashara yako.

Hapa chini ni baadhi ya kazi zangu.

Kwa mawasiliano, tafadhali tuwasiliane kwa 0762-688-222 (namba hii hii pia napatikana kwa whatsapp) au email ni info@natronstudios.com. Nipo Tegeta, Dar es Salaam.

Natanguliza shukrani.


image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
 
Unapiga picha za bidhaa zenye ubora au unapiga picha zenye ubora za bidhaa?
Hahaha! Yaani anapima kwanza ubora wa bidhaa kabla hajapiga picha. I hope yeye ni TBS. hope alikuwa anataka kumaanisha ulivyofikiri.
 
Salamu,

Nimegundua watu wengi hawaoni umuhimu wa presentation kwenye mauzo. Unakuta mtu anarundika nguo kwenye meza na kuzipiga picha, tena kwenye giza. Wengine wanaweka picha za viwanja au nyumba kwenye jua kali au kwenye angle ambayo haipendezi. Hii nimeiona kwenye bidhaa za kila aina. Kiukweli kwenye mauzo tunachukulia mambo poa sana.

Nawaletea huduma hii ya upigaji picha zenye ubora wa hali ya juu. Hii itakusaidia hata ukimtumia mtu picha zako, kwenye whatsapp, email, facebook, jamii forum, kupatana na kwingine, bidhaa zako zimvutime mteja.

Napiga picha za aina zote, kuanzia nguo na viatu, electronics, mazao, huduma, viwanja na mashamba, nyumba na business premises, jewelry, magari, nk. Pia nafanya online video ads.

Bei zangu ni nafuu kwa sababu natambua wote tupo kwenye harakati za maisha. Hapa chini ni baadhi ya kazi zangu.

Kwa mawasiliano, tafadhali nicheki 0762-688-222.
Chini ya wapi zilipo hizo picha?
 
Kweli maisha magumu yanachochea ubunifu......

Kwahio hii ni kazi kabisa?.....
 
Utafanyaje biashara ya kupiga picha halafu usiweke picha kwenye tangazo lako mwenyewe??!!!! 😡😡😡
 
Mtaniwia radhi. Nilikuwa napata tatizo kupost picha hapo mwanzo.
 
kwa hiyo kabla hujapiga picha ni lazima bidhaa zangu ziwe na ubora?

Niwie radhi kama sikueleweka. Ubora wa bidhaa yako ni juu yako na mteja. Mimi kazi yangu ni kuhakikisha bidhaa yako inavutia na kupendeza ili mteja atamani kuinunua. Nikifanikiwa kukufanyia hilo, ndiyo furaha yangu ilipo.
 
Niwie radhi kama sikueleweka. Ubora wa bidhaa yako ni juu yako na mteja. Mimi kazi yangu ni kuhakikisha bidhaa yako inavutia na kupendeza ili mteja atamani kuinunua. Nikifanikiwa kukufanyia hilo, ndiyo furaha yangu ilipo.
nimekupata
Niwie radhi kama sikueleweka. Ubora wa bidhaa yako ni juu yako na mteja. Mimi kazi yangu ni kuhakikisha bidhaa yako inavutia na kupendeza ili mteja atamani kuinunua. Nikifanikiwa kukufanyia hilo, ndiyo furaha yangu ilipo.
noted
 

Kuna mambo yanafanya kuweka fixed price kuwa ngumu kidogo lakini naamini kwa mtu anayeona umuhimu wa hili jambo tutaelewana tu.

Kusisitizia, hizi ni baadhi ya aina ya bidhaa ninazoweza kupiga picha:

Mavazi (nguo, viatu, mikoba)
Electronics
Mazao ya kilimo
Sehemu za Huduma
Viwanja na mashamba
Vyumba vya kupanga
Nyumba na sehemu za biashara
Jewelry
Magari
Furniture, nk.

Pia nafanya online video ads.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom