Habari wanajamvi,
Nilikuwa nahitaji Blackberry Passport au Blackberry Keyone. Atakayekuwa anauza ani PM tuongee biashara. Nipo tayari kusikiliza offer kutoka kwa wauzaji... Asante
Piga simu no;- 0754 597809, Tupo Mbezi beach Tangibovu kwa Komba.
Vifaa:- Tv aina zote, mixer, amplifiers, booster, keyboard, subwoofer, machine za kuhesabu hela bank au super market, kuunda vifaa...
Habari zenu mabibi na mabwana. naomba kuuliza kwayeyeto anaefaham OFICI ao MTU binafsi wanao jihusisha na kutoa mikopo ya magari. Naitaji Gari aina ya NOAH old model, ao Toyota CARINA Ti. naitaji...
Wadau wa biashara za china, naona PM na maswali juu ya china yamekuwa mengi.
Kutokana na majukumu ya kazi zangu, siwezitoa details zote kwa kila mtu.
Nakaribisha wote mpate consulting service...
Nipo kigoma...0782332176...sabuni carton moja ina miche 20 na inauzwa sh 24000...nipo kigoma. ..njia ya Dar na Mwanza natuma Kwa Gari za mizigo kwa gharama nafuu ya mteja..karibuni sana...uaminifu...
Ninauza kiwanja kipo manispaa ya morogoro kata ya lukobe kimepimwa na kina ofa ukubwa wake ni 30 kwa 40, bei ni 3,800,000 kwa mawasiliano piga 0762282526
Je, wewe ni mwandishi wa habari??
Umesomea tasnia hiyo?...na hata kama hujasomea lakini unao UWEZO wa kuandika habari 2 kwa siku,
Yes, habari 2 kwa siku ktk sekta mbalimbali kama vile habari za...
Habarini wakuu?? Nahitaji midoli ya kike mitatu kwa ajili ya duka la nguo.Iwe mizima juu na chini kwa ajili ya Gauni, sketi, jeans au blauzi.
Kwa mwenye nayo anicheki PM tupeane contact..
Wakuu poleni na majukumu,
Nauza gari aina ya Toyota Ist
Chassis number
Unregistered
Never used in Tanzania
Model/Year 2002
Mileage 67,000km
Engine capacity 1290cc
Tshs 9.5milion (fixed)
Call 0787...
- If you needs Electric fence installation for your House, Hotel, Workshop and Store, please feel free to contact us.
__________________________________________________________________
...
- If you needs Electric fence installation for your House, Hotel, Workshop and Store, please feel free to contact us.
__________________________________________________________________
...
Tupo buguruni chama tunauza bati za rangi kwa bei ya viwandani na treated timber.bati zinatoka kampuni zifuatazo, alaf,dragon,wolong,afrin,tifo and snow leopard...karibu or call 0713283760
Ndugu mpendwa husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu
Eneo la ziwani hekari 20 linauzwa Mwanza Nyanguge uelekeao ni Barabara ya kwenda Musoma ni km 30 kutoka Mwanza mjini hadi site.
SIFA ZA...
Salaam,
Kama kichwa Cha thread kinavyojieleza napangisha nyumba nzima ipo Tegeta Nyaishozi,(sio Dalali)
Bei ni laki 4.5 kwa mwezi.
Maelewano yapo.
Nyumba ni kubwa...
Pagare lipo eneo la Kinondo B , wilaya ya kinondoni.
lipo kwenye kiwanja che ukubwa wa miguu 70 x 30.
pagare lina vyumba 3 vya kulala , sebule , jiko na choo.
lipo upande wa kushoto kama unaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.