Ninauza kiwanja kipo manispaa ya morogoro kata ya lukobe kimepimwa na kina ofa ukubwa wake ni 30 kwa 40, bei ni 3,800,000 kwa mawasiliano piga 0762282526
Je, wewe ni mwandishi wa habari??
Umesomea tasnia hiyo?...na hata kama hujasomea lakini unao UWEZO wa kuandika habari 2 kwa siku,
Yes, habari 2 kwa siku ktk sekta mbalimbali kama vile habari za...
Habarini wakuu?? Nahitaji midoli ya kike mitatu kwa ajili ya duka la nguo.Iwe mizima juu na chini kwa ajili ya Gauni, sketi, jeans au blauzi.
Kwa mwenye nayo anicheki PM tupeane contact..
Wakuu poleni na majukumu,
Nauza gari aina ya Toyota Ist
Chassis number
Unregistered
Never used in Tanzania
Model/Year 2002
Mileage 67,000km
Engine capacity 1290cc
Tshs 9.5milion (fixed)
Call 0787...
- If you needs Electric fence installation for your House, Hotel, Workshop and Store, please feel free to contact us.
__________________________________________________________________
...
- If you needs Electric fence installation for your House, Hotel, Workshop and Store, please feel free to contact us.
__________________________________________________________________
...
Tupo buguruni chama tunauza bati za rangi kwa bei ya viwandani na treated timber.bati zinatoka kampuni zifuatazo, alaf,dragon,wolong,afrin,tifo and snow leopard...karibu or call 0713283760
Ndugu mpendwa husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu
Eneo la ziwani hekari 20 linauzwa Mwanza Nyanguge uelekeao ni Barabara ya kwenda Musoma ni km 30 kutoka Mwanza mjini hadi site.
SIFA ZA...
Salaam,
Kama kichwa Cha thread kinavyojieleza napangisha nyumba nzima ipo Tegeta Nyaishozi,(sio Dalali)
Bei ni laki 4.5 kwa mwezi.
Maelewano yapo.
Nyumba ni kubwa...
Pagare lipo eneo la Kinondo B , wilaya ya kinondoni.
lipo kwenye kiwanja che ukubwa wa miguu 70 x 30.
pagare lina vyumba 3 vya kulala , sebule , jiko na choo.
lipo upande wa kushoto kama unaenda...
habari wakuu
kiwanja kinauzwa Bonite moshi Kilimanjaro 20 kwa 20 bei ni shilingi million 8 tu
taratibu zote za kisheria na kiserikali katika mauzo zitafuatwa tafadahali ni PM kwa maelezo ya...
Nauza Maziwa fresh 1600 kwa Lita.
Delivery service ni bure ukichukua kuanzia Lita 5
Kuanzia Lita 4 kushuka chini usafiri utalipia wewe nakuletea popote pale ndani ya dar.
Napokea oda za...
Natafuta mosquito ama pest reperllent zile za kuplug kwenye umeme zinatoa ultrasound ama electromagnetic pulse za kufukuza mbu,ama wadudu mbalimbali ndani ya nyumba,
natafuta hasa brandy ya Pest...
Kiwanja kipo mapinga bagamoyo mkono wa kulia kama unaenda bagamoyo kina ukubwa wa heka 4 kipo umbali wa 1 km toka barabara ya rami bei ni 25m kwa heka.
Tuwasiliane 0657145555.
Kama inavyoonekana hapo juu kilichokoseka na betry tu, nilipoteza usiku, kama unauza betry zake njoo tufanye biashara au kama unakihitaji na betry utatafuta mwenyewe njoo tufanye biashara pia
Wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavyoeleza, ninahitaji simu aina ya OPPO R11 nyeusi nimejaribu kuzunguka kariakoo sijapata kwa mwenye ufahamu naomba kujuzwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.