Wapi ntapata mosquito Reperllent

Wapi ntapata mosquito Reperllent

Elungata

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
40,343
Reaction score
33,492
Natafuta mosquito ama pest reperllent zile za kuplug kwenye umeme zinatoa ultrasound ama electromagnetic pulse za kufukuza mbu,ama wadudu mbalimbali ndani ya nyumba,

natafuta hasa brandy ya Pest reject pro au kama zipo aina nyingine ambazo zishakuwa tested katika mazingira yetu na zikaweza kufanya kazi,

nahitaji nyingi kwa bei ya jumla kwa yeyote anaefahamu duka linalouza hizi vitu anipe location
 
Mkuu kuna application kwenye android hembu ingia play store halafu andika mosquito repellent utapata nzuri tu
 
Tatizo la app ya kwenye simu si itakuwa inamaliza betri kila wakati na sidhani kama ni reliable kivile,

anyway inaonyesha hii product haikufanyiwa marketing ya kutosha humu na inafahamika kwa watu hawazidi kumi nchi nzima
 
Tatizo la app ya kwenye simu si itakuwa inamaliza betri kila wakati na sidhani kama ni reliable kivile,

anyway inaonyesha hii product haikufanyiwa marketing ya kutosha humu na inafahamika kwa watu hawazidi kumi nchi nzima
Tatizo la app ya kwenye simu si itakuwa inamaliza betri kila wakati na sidhani kama ni reliable kivile,

anyway inaonyesha hii product haikufanyiwa marketing ya kutosha humu na inafahamika kwa watu hawazidi kumi nchi nzima
Ni kweli hizi za mtandaoni sio reliable, nime download mmoja lakini haifanyi kazi vzr
 
Mim naulizia zile inakuwa na kichupa cha mafuta au substance repellant kma mafuta ila unachomeka kwenye umeme inakuwa inatoka mvuke wake...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom