SQM 640 ukubwa wa kiwanja
Nyumba nzuri sana mpya
Bei 45 Million(maongezi yapo)
Hapajapimwa
Mwendo wa dakika 20 kufika eneo lenyewe
Picha chini
Contact 0622-027490
Ndugu zangu naomba msaada wa kujua bei za madawa haya hapo ulipo ili nithamanishe na huku kwetu Iringa mjini. Kama kutakua na unafuu niyafuate huko.
Othello ujazo wa lita moja (1000ml)
SUPER...
Hello rafiki,
Naamini hakuna mtu ambae hapendi kumiliki gari ili kurahisisha shughuli za maendeleo na usafiri kwa ujumla.
Sina uchoyo hasa wa Habari, hivyo kama kweli unahitaki kununua gari...
Asalaam aleikhum ndugu zangu wa jukwaa hili mahsusi, matumaini yangu kuwa ni wazima wa afya na mnaendelea na gurudumu la kusukuma Maisha. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Kiwanja...
Wapendwa ktk jina la muumba Wetu aliye mkuu natumaini hamjambo Kwa uwezo wake.
Nina ndugu yangu anayetafuta Gari tajwa please aliye na Gari kama hiyo Au anayejua mwenye nayo anayeuza please...
Nauza Camon CX Air kwa Sh. 240,000 tuu Nimeitumia Mwezi Mmoja Risiti Ninayo Na Charger Yake.
-Camera 13MP
-Front 13MP
-Ina Flash Rear Na Front Cameras
-RAM 2GB
-ROM 16GB
Sababu ya Kuuza...
Mwenye computer anayeuza au kama unamfahamu mtu anauza , tafadhali naomba nijulishe.
Iwe na RAM 4GB na kuendelea.
HDD 350 na core i5.
Budget yangu ni 350000 Cash.
Kuna maeneo mazuri na ya kutosha, kwa ajili ya kuwekeza katika nyanja ya kilimo.
Ukubwa:
Kuanzia heka moja hadi mia (100). Kama utahitaji
Sehemu/eneo:
Mashamba yapo kijiji cha kibudi - bupu...
Hii simu nimeinunua mpya hata wiki mbili hazijaisha ila nmepata emergence I need the cash.<br />Ipo kwenye very good condition, Kila kitu chake kipo mpaka warrant seal. Napatikana Dar es Salaam...
Nauza kiwanja changu chenye ukubwa kama ifuatavyo;
urefu hatua 30 * upana hatua 20.
Kiwanja hiki kiko mita 200 kutoka barabara kuu, na kipo eneo zuri kwa makazi na biashara.Kina msingi wa nyumba...
Karibu kwa mkazi wa Mbeya kuwafariji watoto yatima Katika kituo cha watoto yatima IWAMBI Mbeya ni siku ya jumamosi ya tarehe 10/02/2018 na wewe ulieko nje ya Mbeya, unaweza kwenda Katika kituo...
KIWANJA CHA KWANZA KIPO ENEO LA CHUO CHA MIPANGO DODOMA
*UKUBWA. 25*20
*BEI..... 8MIL
*UHALALI.. HATI ZIPO
KIWANJA CHA PILI KIPO ENEO LA CHUO CHA MIPANGO DODOMA
*UKUBWA ....35*30
*BEI...
Habari wanaharakati wa JF,
tunapenda kuwatangazia wateja wetu ambao wanapenda kuchora tattoo inayo futika ( elimination tattoo ) na isiyofutika ( permanent tattoo ) tunachora vizuri na kwa ubora...
Hivi zile mashine za iceing sugar zinauzwa wapi kwa hapa Dar es salaam na wanauzaje? nina shida nazo wakuu na je unga wa iceing sugar mnanunuaga wapi na unauzwaje? Kwa hapa Dar maana leo...