NAHITAJI FARASI

Dauntless

New Member
Jul 26, 2013
3
0
Wadau Salaam.
Nilikuwa naomba kuuliza wapi naweza kupata eneo wanaouza farasi kwa mikoa ya dar, tanga, moro na bagamoyo.
 
Check na jamaa wa Mafinga - Iringa kule ndiyo kuna shamba kubwa la hao wanyama. Pia inabidi uelewe kwamba farasi wapo ktk makundi mawili, trained one and untrained one basi na bei ni tofauti kabisa.
 
Kwa mikoa hiyo sidhani ,ila Iringa nenda shamba la ASAS lipo jirani na mjini kama km 20 hivi ,kwa arusha nenda USA river kuna shamba ila huwa ghali sana mmoja anarange 7-15 milion ,na kuwalea ni kazi sana wanaofuga mara nyingi huwa ni kwa ufahari tu sio biashara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom