Mashamba kwa ajili ya kilimo yanauzwa

Mashamba kwa ajili ya kilimo yanauzwa

KUCH KUCH

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2015
Posts
1,327
Reaction score
966
Kuna maeneo mazuri na ya kutosha, kwa ajili ya kuwekeza katika nyanja ya kilimo.

Ukubwa:
Kuanzia heka moja hadi mia (100). Kama utahitaji

Sehemu/eneo:
Mashamba yapo kijiji cha kibudi - bupu
Wilaya ya mkuranga-mkoa wa pwani.

Bei:
Maelewano/kupatana

Mawasiliano
0687 93 35 34.
0715 84 83 16.

Karibuni sana.
 
KUNA MAENEO MAZURI NA YA KUTOSHA, KWA AJILI YA KUWEKEZA KATIKA NYANJA YA KILIMO.

UKUBWA:
KUANZIA HEKA MOJA HADI MIA (100). KAMA UTAHITAJI

SEHEMU/ENEO:
MASHAMBA YAPO KIJIJI CHA KIBUDI - BUPU
WILAYA YA MKURANGA-MKOA WA PWANI.

BEI:
MAELEWANO/KUPATANA

MAWASILIANO
0687 93 35 34.
0715 84 83 16.

Karibuni sana.
Ongeza nyama kwenye tangazo lako. Yaliyopungua kwenye tangazo lako ni kama haya, umbali toka barabara kuu, usafiri wa huko ukoje, mazao gani yanamea, upatikanaji wa maji, manpower ya huko ikoje. Bei elekezi, japo ya chini na juu ni kiasi gani, yanamilikiwa na nani hayo mashamba kwa sasa. Jaribu kutoa picha ya eneo lenyewe.
 
Ongeza nyama kwenye tangazo lako. Yaliyopungua kwenye tangazo lako ni kama haya, umbali toka barabara kuu, usafiri wa huko ukoje, mazao gani yanamea, upatikanaji wa maji, manpower ya huko ikoje. Bei elekezi, japo ya chini na juu ni kiasi gani, yanamilikiwa na nani hayo mashamba kwa sasa. Jaribu kutoa picha ya eneo lenyewe.
Asante kiongozi,
KUHUSU USAFIRI HAUNA SHIDA, KUTOKA MBAGALA RANGI TATU HADI KIBUDI GARI ZIPO

ARDHI YAKE YENYE RUTUBA HASWAA KWANI NI MAPORI / MSITU

MAZAO:
MAHINDI, MUHOGO, UFUTA, MIGOMBA, MANANASI, MABOGA, MICHUNGWA, KOROSHO nk

MAJI
HAKUNA TATIZO LA MAJI KABISA

BEI ELEKEZI
HEKA MOJA 300,000/= MAELEWANO

UMILIKI KWA SASA
NI MALI YA FAMILIA

Karibuni sana
 
Asante kiongozi,
KUHUSU USAFIRI HAUNA SHIDA, KUTOKA MBAGALA RANGI TATU HADI KIBUDI GARI ZIPO

ARDHI YAKE YENYE RUTUBA HASWAA KWANI NI MAPORI / MSITU

MAZAO:
MAHINDI, MUHOGO, UFUTA, MIGOMBA, MANANASI, MABOGA, MICHUNGWA, KOROSHO nk

MAJI
HAKUNA TATIZO LA MAJI KABISA

BEI ELEKEZI
HEKA MOJA 300,000/= MAELEWANO

UMILIKI KWA SASA
NI MALI YA FAMILIA

Karibuni sana
Asante mkuu
 
Asante kiongozi,
KUHUSU USAFIRI HAUNA SHIDA, KUTOKA MBAGALA RANGI TATU HADI KIBUDI GARI ZIPO

ARDHI YAKE YENYE RUTUBA HASWAA KWANI NI MAPORI / MSITU

MAZAO:
MAHINDI, MUHOGO, UFUTA, MIGOMBA, MANANASI, MABOGA, MICHUNGWA, KOROSHO nk

MAJI
HAKUNA TATIZO LA MAJI KABISA

BEI ELEKEZI
HEKA MOJA 300,000/= MAELEWANO

UMILIKI KWA SASA
NI MALI YA FAMILIA

Karibuni sana
mbona ukitafutwa hukibu ..unakaa kimnya kwa njia ya simu
 
Asante kiongozi,
KUHUSU USAFIRI HAUNA SHIDA, KUTOKA MBAGALA RANGI TATU HADI KIBUDI GARI ZIPO

ARDHI YAKE YENYE RUTUBA HASWAA KWANI NI MAPORI / MSITU

MAZAO:
MAHINDI, MUHOGO, UFUTA, MIGOMBA, MANANASI, MABOGA, MICHUNGWA, KOROSHO nk

MAJI
HAKUNA TATIZO LA MAJI KABISA

BEI ELEKEZI
HEKA MOJA 300,000/= MAELEWANO

UMILIKI KWA SASA
NI MALI YA FAMILIA

Karibuni sana
(msongo wa mawazo) Sijui ilikuwaje mpaka wakamnyang'anya Sumaye mashamba yake!
Mkuu nakutakia kila la kheri.
 
Hujasema kutoka Mbagala mpaka kwenye mashamba ni kilometa ngapi. Hujasema kutoka main road kwenda shambani kuna umbali gani.
 
Kuna maeneo mazuri na ya kutosha, kwa ajili ya kuwekeza katika nyanja ya kilimo.

Ukubwa:
Kuanzia heka moja hadi mia (100). Kama utahitaji

Sehemu/eneo:
Mashamba yapo kijiji cha kibudi - bupu
Wilaya ya mkuranga-mkoa wa pwani.

Bei:
Maelewano/kupatana

Mawasiliano
0687 93 35 34.
0715 84 83 16.

Karibuni sana.
Aisee huyu mtu kuna anaye mjua kweli.. Mbona ukiwasiliana naye amekaa kisanini nani ana mjua huyu mtu au nani amesha nunua shamba kwake??
 
Back
Top Bottom