Nyumba zinauzwa Dodoma

Nyumba zinauzwa Dodoma

Chillah

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2016
Posts
9,284
Reaction score
10,516
  • Nyumba mbili zina uzwa dodoma... Eneo zilipo nyumba hizi ni Ntuka... Una pita Uzunguni, Kilimani (Kijiji cha mwalimu Nyerere, Ikulu iliyo jengwa kwa ajiri ya mwalimu na vijana wa JKT)
  • una panda mlima wenye minala inayo onekana ukiwa sehemu yoyote Dodoma mjini au ukiwa una ingia dodoma mjini
  • Karibuni, kila Nyumba ni 50M... naambatanisha na picha... kila nyumba ina vyumba vinne (4), ukitaka moja au zote karibu...
  • makabidhiano tuta kabidhiana kwa mwanasheria kwa usalama wako na wangu pia...! kama una mwanasheria wako itakuwa ni jambo jema... ukitaka kuja kuziona au kujilizisha basi tutafutane...! Namba 0718440828
IMG-20180220-WA0001.jpg
IMG-20180220-WA0009.jpg
IMG-20180220-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom