Kiwanja cha makazi kinahitajika haraka Dar es Salaam

Kiwanja cha makazi kinahitajika haraka Dar es Salaam

Manala An Academician

Senior Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
119
Reaction score
57
habari wadau, nahitaji kiwanja chenye vibali vyote kwa mjibu wa sheria kwa bei inayoanzia na 1.5 mil hadi 2mil kiwe dsm. kipaumbele ni kimara, mbezi, na maeneo mengine yanayokuwa kwa kasi.
mwenye taarifa tuwasiliane kwa 0757930779/0673426517
 
habari wadau, nahitaji kiwanja chenye vibali vyote kwa mjibu wa sheria kwa bei inayoanzia na 1.5 mil hadi 2mil kiwe dsm. kipaumbele ni kimara, mbezi, na maeneo mengine yanayokuwa kwa kasi.
mwenye taarifa tuwasiliane kwa 0757930779/0673426517
Unatania au?
 
Vibali vyote ni 2m kuweza kupata hapa dar ,then uuziwe haya mambo makubwa twende msata bagamoyo nikaribu na dar pengine twwaweza fanikiwa kwa 5m
 
habari wadau, nahitaji kiwanja chenye vibali vyote kwa mjibu wa sheria kwa bei inayoanzia na 1.5 mil hadi 2mil kiwe dsm. kipaumbele ni kimara, mbezi, na maeneo mengine yanayokuwa kwa kasi.
mwenye taarifa tuwasiliane kwa 0757930779/0673426517
Eti umesema milioni ngapi?

Nakushauri ukajaribu Chattle kule....
 
Nadhani unatikisa kiberiti!
 
Dar ipi mkuu unaitaka? labda ya kule kisarawe
 
Kwa bei hiyo lazima utapigwa tu

Ova
 
Nmeandika ,nkafuta,nkaandika tena nkafuta,...
Dah anyway mkuu all the best,..ila hyo bei na hayo maeneo ni kitu kisichowezekana
 
habari wadau, nahitaji kiwanja chenye vibali vyote kwa mjibu wa sheria kwa bei inayoanzia na 1.5 mil hadi 2mil kiwe dsm. kipaumbele ni kimara, mbezi, na maeneo mengine yanayokuwa kwa kasi.
mwenye taarifa tuwasiliane kwa 0757930779/0673426517

Kigamboni na kibamba kwa masharti haya wanaanzia kiasi gani wadau?
 
Wakuu Mbona mnashindwa kujiongeza kwa jambo dogo kama hili.........!!?

MTOA MADA AMEULIZA BEI ZA VIWANJA KWA MLANGO WA NYUMA.....
 
Back
Top Bottom