Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu salama naulizia wapi naweza pata Humidifier nipo Mwanza kwa sasa. Kwa ambao hawafahamu... Humidifier ni kifaa kinachoongeza unyevu nyevu ndani ya chumba
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Kazi yetu mpya ya tovuti (website) toka www.africanbase.net unahitaji tovuti kwa biashara zako? Mobile app? Graphics/logo design katika brand yako? Wasiliana nasi Leo whatsapp +255753 149 701 Call...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
Amani kwenu wadau, Nauza tecno spark k7 gold cover ipo kwenye hali nzuri imetumika wiki 3 sababu ya kuuza nataka nichukue simu kubwa zaidi ya hii. Specification zake: DUAL SIM 16GB ROM + 2GB...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Pasi aina ya Panasonic bei 25,000, nipo Dar es salaam kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0693289203
0 Reactions
6 Replies
3K Views
A modern 4 bedrooms, familly bungalow is available for rent from 1st of May 2018. it includes 1 masterbedroom and 3 other rooms with built in closets. a huge dining room, sitting room and top...
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Habari za muda huu wadau, naomba mwenye kujua fundi mzuri wa suti za harusi Arusha anipe mawasiliano yake. Asanteni sanaaa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
31 Replies
10K Views
Nauza used suspension shockup ya mbele ya mercedes benz sclass, bei 600,000 maongezi yapo piga number 0766408762
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Kama kichwa kinavyojieleza Desktop inauzwa bei poa kabisaa, Anayehitaji anicheki kupitia nanba 0675933114!!!!
0 Reactions
1 Replies
536 Views
Agiza kutoka kwetu tukuletee ulipo. . ANT-THEFT BACKPACK Ni Begi imara zenye sifa za kipekee. . • ULINZI wa hali ya juu - Zipu yake ipo Mgongoni Mwizi hawezi kufungua kama umelivaa. . • HALINGIZI...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Electric Car Jack & Impact wrench.. Ni mahsusi kwa ajili ya kunyanyua gari (Jeki) na kufungulia Tairi za magari (Wheel spana). Ila hizi hutumii nguvu bali umeme wa Gari. Unachofanya ni...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Printer ni me itumia mwaka mmoja tuu kwa matumizi yangu madg madg ya kuprint assignments zangu chuoni, nilinunua 150k, Ila Mimi nina iuza 90 tuu, ninakupa na boksi lake kabisa. popote ulipo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu nahitaji chumba kimoja(Self contained) cha kupanga kilicho standard ,maeneo kiwe kuanzia Airport road-Bwiru mpaka mjini,kiwe maeneo ya kufikika main road kirahisi maana sina private car kama...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kwa anayefahamu soko Zaidi la lile la karume(Benjamin high school) la MAZULIA na makapet yaaoweza kupatikana kwa bei chee anisaidie plz
0 Reactions
0 Replies
873 Views
Kiwanja kinauzwa kipo kinzud.kikubwa sana bei kuanzia mil 120 ila inapungua kwa atakae itaji..kwa maelezo zaid pigs cm no 0719474102
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naitaji domestic cat watatu Wawe majike Wawe bikra Rangi yoyote isipokuwa black Wawe wanaishi dsm Bei isizidi 20 thousand
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Natafuta fundi mtaalamu wa kupaka rangi bati,nimeezeka kwa bati za kawaida (Simba dumu) nataka mtu anayeweza kupaka/spray rangi kwa compressor na rangi isitoke kamwe. Kama una ujuzi huo njoo PM...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hello wanajamvi....wasalam Ninashida ya kupata chumba cha kupanga maeneo tajwa hapo au Namanga. Budget 70k- 100k Kiwe sehemu isiyojaa maji luku + umeme na self contained... Ambaye yupo serious...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nahitaji kujuwa wapi chimbo la simu kwa Bei ya jumla
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…