Natafuta mtaalamu wa kupaka rangi bati

Natafuta mtaalamu wa kupaka rangi bati

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,523
Reaction score
14,002
Natafuta fundi mtaalamu wa kupaka rangi bati,nimeezeka kwa bati za kawaida (Simba dumu) nataka mtu anayeweza kupaka/spray rangi kwa compressor na rangi isitoke kamwe.
Kama una ujuzi huo njoo PM kwa maelezo zaidi.
Asante.
 
Mbona naona una upa promo Uzi wako?
Mm natafuta fundi/mafundi wa kupaka rangi bati kama unajua njoo PM
 
Back
Top Bottom