Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta mosquito ama pest reperllent zile za kuplug kwenye umeme zinatoa ultrasound ama electromagnetic pulse za kufukuza mbu,ama wadudu mbalimbali ndani ya nyumba, natafuta hasa brandy ya Pest...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kiwanja kipo mapinga bagamoyo mkono wa kulia kama unaenda bagamoyo kina ukubwa wa heka 4 kipo umbali wa 1 km toka barabara ya rami bei ni 25m kwa heka. Tuwasiliane 0657145555.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama inavyoonekana hapo juu kilichokoseka na betry tu, nilipoteza usiku, kama unauza betry zake njoo tufanye biashara au kama unakihitaji na betry utatafuta mwenyewe njoo tufanye biashara pia
0 Reactions
0 Replies
609 Views
Wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavyoeleza, ninahitaji simu aina ya OPPO R11 nyeusi nimejaribu kuzunguka kariakoo sijapata kwa mwenye ufahamu naomba kujuzwa.
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Used oppo F3 kutoka Dubai Internal 64GB, RAM 4GB bei 550,000/= Nicheki 0715808028
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari za kazi wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninatafuta Fundi nguo mzuri awe anapenda kujifunza vitu vipya,awe mbunifu, anajua kujiongeza, kazi zake smart kabisa tuwasiliane...
0 Reactions
0 Replies
998 Views
Za leo wakuu, natafuta bodaboda aina ya toyo sitaki boxer maana ni yakupeleka kijijini ikapige mzigo huko kumbuka kwamba najua soko lilipo, so nimekuja hapa kwasababu najua mazungumzo yatakuwa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
NAUZA KINGAMUZI CHA STARTIMES PAMOJA NA DISH LAKE. BEI NI TSH60,000. KINA MDA WA MWEZI MMOJA TANGU KINUNULIWE WAHI SASA..KINAPATIKANA KIMARA MWISHO,MAWASILIANO NI 0746156938.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
zinatumia line zote 4g network bei tsh80000. nicheki whatspp tufanye biashara
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanajamvi salaam Huu uzi ni kwa ajili ya kuonyeshana ufundi show ups katika ujenzi wa Nyumba Walls Terraces Na kadhalika karibuni Ni ruksa kushare picha of your success katika ujenzi Karibuni
0 Reactions
0 Replies
422 Views
Jiko la gesi "two plates" na mtungi wake kama inavyoonekana kwenye picha linauzwa kwa kiasi cha shilingi 100,000/=. Muuzaji anapatikana Morogoro mjini kama anavyojifafanua hapo chini. Asanteni...
0 Reactions
24 Replies
13K Views
Feni bado imara na mpya. Bei 45,000 Nipo Dar es salaam kwa atakae hitaji nitafute namb >> 0766166483
0 Reactions
13 Replies
4K Views
TV ya nchi 32,friji na music system vinauzwa,vyote ni LG,viko na resiti zake na Vina miezi miwili toka vinunuliwe... Kwa mawasiliano zaidi piga 0679059655. Kwa picha whatsap njoo kwenye namba hii...
1 Reactions
52 Replies
6K Views
Bei 35,000 nipo Dar es salaam, kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0766166483
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wakuu , Tunauza mikoba ya ngozi, bei ya rejareja ni Tsh. 35,000/= na jumla itategema na idadi unayochukua. Ukihitaji karibu dukani kwetu Tegeta Dar es salaam au wasiliana nasi...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakuu nilikuwa natengeneza passo yangu maeneo ya TABATA huko, sasa naona hawa mafundi hawana utaalam wa kutosha kila Mara wanasema nunua hiki nikinunua tatizo liko palele nahisi ni mafundi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jamvi Kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji display ya samsung s8 kutokana na simu yangu kupata hitilafu kidogo, Kwa yoyote aliyonayo hata kama ni used tuwasiliane 0758728258
0 Reactions
2 Replies
676 Views
Tunajishughulisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa vya ujenzi kama Mbao,nondo,mabati,mirunda,plywood,marine board nk.
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Pikipiki naiuza. Iko vizuri cc250' Bei milioni 4.5 Karbu sana.
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau,na wana nzengo wote,nnazo mbegu za mchicha rangi ya njano.kwa anaye hitaji au kujua lilipo soko lake tuwacliane ktk no 0654694935 au 0757685780
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…