Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunakodisha na Kuuza vifaa vya ujenzi. Tunapatikana Dar as salaam, Singida na Dodoma karibu sana. 0654919121 0658919121
0 Reactions
0 Replies
907 Views
Tunatoa mafunzo ya namna ya kuanalyse data kwa kutumia SPSS au STATA
0 Reactions
0 Replies
992 Views
Nahitaji kununua livestock mineral mix kwa ajili ya chakula cha mifugo. Wapi naweza kununua hapa Dar. Mfano ni kama hapo chini, si lazima iwe kama hii ila huu ni mfano tuu.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wakuu, Nauza simu yangu aina ya Samsung grand prime plus ikiwa na sifa zifuatazo: 1. Kioo cha inchi 5 2. Laini 2 za kukata 3. Ina 4 G Lte 4. Kamera ya mbele 5 MP 5. Kamera ya nyuma 8 MP 6...
0 Reactions
3 Replies
874 Views
Wakuu natafuta lens ya canon 18 - 55mm nipo dar es salaam karibu inbox kwa wauzaji.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza Viatu Hivi Vya Kike Kwa Bei Chee! Nipo Dar es salaam, ila pia mkoani ninatuma kwa gharama ya mteja, ni Viatu vizuri na simple vyenye kupendeza na kuvutia kwa wadada hasa wanaoenda na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
  • Closed
Amani kwenu wadau, Smartphone aina huawei G510 na usb modem aina ya vodafone k3772-z zinauzwa. Zipo katika hali nzuri, hazina tatizo lolote. kwa yoyote anayehitaji anichek 0754669580. bei ya...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
jamani yeyote mwenye connection ya jinsi gan naweza kupata kiwanja kijichi anipm
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kiwanja kiwanja kipo mtoni kijichi,kina view mkondo wa bahari, kina 2000sqm na kina leseni ya makazi(residential licence) bei 60mil maongezi yapo....pm
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Natafuta computer Yenye specification zifuatazo Iwe na RAM 4GB au zaidi Core i6 au i5 64bit operating system Laptop au desktop NVIDIA shield graphics
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Waungwana naomba kuuliza bei Za soda Za brand ya Coca Cola toka kiwandani inaweza kua sh ngapi na nawezaje kupata uargent ....I mean vigezo gani natakiwa kua navyo....naongelea Zile Za chupa ya...
1 Reactions
9 Replies
19K Views
Type: Canon Image Runner 2318 for Sale GPR 18 Tonner Printer Software CD User Manual CD + 1 User Manual Book. Price: Tsh 1.5M Contact:
0 Reactions
1 Replies
886 Views
Hazina michubuko wala kuchanika bado mpya kitambaa ni lather ya kibongo. Hazjabonyea popote maana hazkaliwi Mara nyingi. Lipo kubwa LA watu wawili na mawili ya MTU mmoja mmoja jumla matatu...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Natafuta laini ya uwakala TIGOPESA nipo Tanga kwa yeyote Mwenye nayo tuwasiliane,0715030532
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari Wana Jamvi Ifanye nyumba yako iwe namuonekano wakupendeza kwagharama nafuu kabisa Wasiliana nasi kwamahitaji ya; BATHROOM PERTITION VIOO VYAKUTENGA BAFU NACHOO MADIRISHA YAKISASA BALUSTERS...
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Natafuta mikorosho ya kisasa? Nitapataje mwenye kujua pakuipata aniPM Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Habari, Nauza Mashine mpya kabisa,ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa Inachuja yenyewe Inaweza kusaga mpaka kilo 300 kwa saa 1 750W Inawarranty ya mwaka mzima 1,100,000/ only...
3 Reactions
60 Replies
16K Views
Habarini wana jf. Kama kichwa kinavyo jieleza. Kuku aina ya Sasso majogoo na matetea walio na umri wa miezi sita wanauzwa. Bei yake kwa majogoo inaanzia shilingi 15000/= -- 20000/= na kwa matetea...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Wakuu kwema nahitaji kasuku ( Parot ) wa kununua nipo Arusha au msaada wa wapi ntaweza pata kasuku mmoja. -----update------ Wakuu bado sijampata huyu ndege nampenda na namuhitaji zaidi ya Sana...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…