Nahitaji kununua livestock mineral mix kwa ajili ya chakula cha mifugo. Wapi naweza kununua hapa Dar. Mfano ni kama hapo chini, si lazima iwe kama hii ila huu ni mfano tuu.
Habari wakuu,
Nauza simu yangu aina ya Samsung grand prime plus ikiwa na sifa zifuatazo:
1. Kioo cha inchi 5
2. Laini 2 za kukata
3. Ina 4 G Lte
4. Kamera ya mbele 5 MP
5. Kamera ya nyuma 8 MP
6...
Nauza Viatu Hivi Vya Kike Kwa Bei Chee! Nipo Dar es salaam, ila pia mkoani ninatuma kwa gharama ya mteja, ni Viatu vizuri na simple vyenye kupendeza na kuvutia kwa wadada hasa wanaoenda na...
Amani kwenu wadau,
Smartphone aina huawei G510 na usb modem aina ya vodafone k3772-z zinauzwa.
Zipo katika hali nzuri, hazina tatizo lolote.
kwa yoyote anayehitaji anichek 0754669580.
bei ya...
Kiwanja kiwanja kipo mtoni kijichi,kina view mkondo wa bahari, kina 2000sqm na kina leseni ya makazi(residential licence) bei 60mil maongezi yapo....pm
Waungwana naomba kuuliza bei Za soda Za brand ya Coca Cola toka kiwandani inaweza kua sh ngapi na nawezaje kupata uargent ....I mean vigezo gani natakiwa kua navyo....naongelea Zile Za chupa ya...
Hazina michubuko wala kuchanika bado mpya kitambaa ni lather ya kibongo.
Hazjabonyea popote maana hazkaliwi Mara nyingi.
Lipo kubwa LA watu wawili na mawili ya MTU mmoja mmoja jumla matatu...
Habari Wana Jamvi
Ifanye nyumba yako iwe namuonekano wakupendeza kwagharama nafuu kabisa
Wasiliana nasi kwamahitaji ya;
BATHROOM
PERTITION
VIOO VYAKUTENGA BAFU NACHOO
MADIRISHA YAKISASA
BALUSTERS...
Habari,
Nauza Mashine mpya kabisa,ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa
Inachuja yenyewe
Inaweza kusaga mpaka kilo 300 kwa saa 1
750W
Inawarranty ya mwaka mzima
1,100,000/ only...
Habarini wana jf. Kama kichwa kinavyo jieleza. Kuku aina ya Sasso majogoo na matetea walio na umri wa miezi sita wanauzwa. Bei yake kwa majogoo inaanzia shilingi 15000/= -- 20000/= na kwa matetea...
Wakuu kwema nahitaji kasuku (
Parot ) wa kununua nipo Arusha au msaada wa wapi ntaweza pata kasuku mmoja.
-----update------
Wakuu bado sijampata huyu ndege nampenda na namuhitaji zaidi ya Sana...