Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu, Natafuta soko la kuuza mayai kienyeji, mimi ni mfugaji mdogo, kwa sasa kuku wangu wanataga mayai 8-9 kwa siku, bei yai moja ni Tsh 400. Kwa aliyeko karibu nami naweza kumletea...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari ya Jumatatu Ni hivi, miaka kama 6 iliyopitia nilitengeneza network moja ya kijasiriamali na watu wa nje ya bara la Africa. Nimeshafanya nao shughuli nyingi ambazo baadhi zilitulipa na...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wakuu? Nauza frem ya bati ya bango la biashara lenye kuwaka taa ndani pamoja na stendi yake. Bango lina urefu wa Mita 2 na Upana wa Cm 80 na unene wa Inch 5" yaani (2m×0.8m×5") Kwa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Iwe dar bei isizid Laki 8.,iwe na vibali cypress aliye nayo awake contacts Napatikana kitunda
0 Reactions
0 Replies
722 Views
husika na kichwa hapo juu,natafuta chaja orijino ya tekno camon C8 iwe mpya au used bora iwe orijino ya C8 mwenye kujua naipataje aweke na bei kabisa. Napatikana Dar es salaam.
0 Reactions
1 Replies
695 Views
Kama unaishi kiwanja change ukubwa wa 20*20 au tofauti na hiyo Na kinauzwa Kwanini bei mzuri Weka hapa details na picha ikiwezekana.... Nitarudi
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama title inavyoonesha...gari IPO inatembea namba A...bei mil 6... Anyone who is interesting anichek DM..gari ipo Dar es salaam
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari yenu ndugu natafuta dada wa kazi za ndani awe bint kuanzia miak 18-22 ,sina mtoto naishi kweny nyumb yangu mshahara ni alfu arobaini Lengo la kusaka dada wa kazi ni kwamba nachoka kufany...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Offer offer offer vifaranga vya bei bora wa kuku wa kienyeji wa miexi miwili vinapatikana kwa sh 6000 *wamashapewa chanjo zote za mwanzo *wanastahimili magonjwa *huhitaji muda mwingi kuwaangalia...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Tunachora michoro ya kila aina na kutoa mafunzo ya softwares. ANGALIA TANGAZO NA MFANO WA NYUMBA ZILIZOCHORWA HAPA CHINI. MAWASILIANO; 0766022653 OR mdctanzania1@gmail.com
1 Reactions
0 Replies
842 Views
Habari wana JamiiForum na hususani wale wafuatiliaji wazuri wa jukwaa letu pendwa la Biashara, Uchumi na Ujasiriamali. Napenda tujadili na vilevile kutoa ushauri juu ya wajasiriamali na...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Tunakodisha na Kuuza vifaa vya Barabara na Ujenzi. Tunapatikana Dar-es-salaam, Singida na Dodoma. karibu sana. 0654919121 0658919121
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tuna fanya promotion za akaunti za youtube na instagram. Tunafanya promotion locally ikiwa na maana kuwa youtube subscibers, au Instagram followers wako wanakuwa ni Watanzania. Package zetu ni...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
NIcheki 0759146185, Nikupe Maelekezo nakutengenezea buree na nakutumia, Hii ni offer yako
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nahitaji Mtu ambaye atanisaidia ufadhili nipate vifaa vifuatvyo, Computer na Camera, Nina skills zifuatavyo -Graphics Designer -You tube Channel manager _Blogger (2 years Experience) -Online...
0 Reactions
2 Replies
831 Views
Bei maelewano wasiliana na Ivana Land Solution Ltd
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye fridge ndogo au deep freezer ndogo,ambayo angependa auze ,tufanye biashara .
0 Reactions
5 Replies
44K Views
Nahitaji dagaa wasio na mchanga kutoka Musoma. Kwa wenye kuelewa nngependa kujua bei ya gunia na gharama za usafiri kutoka Musoma hadi Arusha. Kwa ambao wapo kwenye biashara ya hawa dagaa naomba...
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Ninatauta model wa kiume ambaye ata fanya kazi kwa siku tatu kwa malipo ya 60,000 kwa siku kwa muda wa siku tatu .kazi atakayo shughulika nayo ni kupigwa picha za ufukweni .vigezo vinajulikana...
1 Reactions
41 Replies
8K Views
Kwa yeyote anaefahamu mahali ulipo
0 Reactions
75 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…