Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mzigo huo, changarawe mahsusi kwa wachimba visima na wajenzi zinatumika kuweka floor ya tarazo na linta pia mzigo upo mwingi kama unahitaji nicheki inbox kwa maelezo zaidi na bei, nauza kwa piece...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kiwanja cha square metres 592,kinauzwa 15M..kipo mbezi msumi 'C'...,kina miti ya miembe na ni tambalale...! Kina umbali wa dak 2-3 kutoka barabarani (main road..) only seriously buyer's...check on...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nahitaji external hard disk bei ni maelewano pesa ipo cash .. msingi uwe dar au shinyanga mjini , ikiwa na maana kwa dar ni rahisi kufanya biashara maana nina connection pia shinyanga kuna...
0 Reactions
2 Replies
773 Views
Wakuu naomba kujua bei ya pumba ya mahindi kwa gunia au kwa tani.
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Ni simu bomba kwa bei poa kabisa ukumbuke simu hizi ni mpya Full Box yaani unatoa ganda mwenyewe. Kwa mawasiliano 0652971495 Mate 10: 64gb...1,130,000 Mate Pro 128gb...1,200,000...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wakuu, Nauza majiko ya kisasa yanayotumia mkaa kidogo kutoka kampuni ya burnstoves. Yapo matatu na kila moja nauza Tshs.100,000/= kama una pungufu unaongea. Nipo Dar es Salaam, Namba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa, Nauza simu aina ya Samsung galaxy grandprimes plus. Simu ni used. Sifa zake: 1. Ina kioo cha inchi 5 2. Memery ya ndani GB 8 3. R.A.M 1.5GB 5. Kamera ya nyuma 8MP,ya mbele 5 MP...
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Punguzo la bei katika msimu huu wa Pasaka, pata Business Cards Pcs 100 kwa 15,000/- tuuu... Tunapatikana Kariakoo, mtaa wa Kongo na Kariakoo, karibu na mgahawa wa Madina. Piga simu au Whatsapp...
0 Reactions
4 Replies
976 Views
Kwa Wakazi wa Tanga A. Pata vifaranga vya kuroila 1: kifaranga cha siku 1800 2: Kifaranga cha wk 2,500 3: Wiki mbili 3,000 B: Vifaranga vya kuchi mdomo kasuku 1: mwenzi 50,000 Waho...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
natafuta jiko dogo kg6la gasi used mwenye nalo anPM!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari, Tunakushauri kuwa muangalifu ili kuepuka utapeli wa mitandaoni. Kamwe usitoe PIN (namba yako ya siri) au namba yako ya akaunti ya benki kwa mtu yeyote au sababu yoyote ile. NMBKaribuYako.
0 Reactions
1 Replies
956 Views
Sina hofu na afya zenu, natumaini mko wazima , ni salama na amani. Kama kichwa kinavyosomeka, shida yangu ni kujua bei halisi ya matrekta kwa kuainisha aina zake na uwezo wake. Mfano-Massey...
4 Reactions
35 Replies
17K Views
nauza samaki wa mapambo aina na rangi mbali mbali mawasiliano 0766059506elfu kumi wawili
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Ni simu bomba kwa bei poa kabisa ukumbuke simu hizi ni mpya Full Box yaani unatoa ganda mwenyewe. Kwa mawasiliano 0652971495 Mate 10: 64gb...1,130,000 Mate Pro 128gb...1,200,000...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Heshima kwenu wote. Nauza external hard drive aina ya WD Elements mpya kabisa kwenye boksi,yenye uwezo wa 750GB made in Malaysia. Bei 175,000/=net Inapatikana Tanga mjini. Ikiwa unahitaji...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
*Bei 185,000 *Risiti zake zote bado zipo *8 mega pixel front camera *13 megapixel back camera *INTERNAL MEMORY 16 GB *Finger sensor touch *RAM 1 GB *Colour Black *Location Dar es Salaam...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
TUNAUZA NAZI KWA BEI YA JUMLA NAZI KUTOKA KUSINI (LINDI & MTWARA) NAZI BORA ZILIZOKOMAA UKIAGIZA NAZI KUANZIA 1000 TUNAKUSAIDIA KULIPA USHURU. NB: TANGAZO LIMEANDIKWA TAREHE 23/3/2018 BEI YA NAZI...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Salam wakuu. Nahitaji image transfer belt ya hp printer model cp3525n. Asante.
0 Reactions
0 Replies
469 Views
Habari wana jamvi.... Please to recommend Sound/ Music System ya ukweli nayoweza nunua hapa Bongo land na duka lipi hasa + bei... The system should support current and future (about +5 years to...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kuku Tanga inakuletea punguzo la bei Kwa kuku chotara Aina ya kuroila. Bei zetu nii 1: Tsh 1,800 Kwa kifaranga cha siku moja. 2: 2,500 Kwa wk moja 3: 3000 Kwa wk mbili 4:3,500 Kwa wk tatu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…