Mzigo huo, changarawe mahsusi kwa wachimba visima na wajenzi zinatumika kuweka floor ya tarazo na linta pia mzigo upo mwingi kama unahitaji nicheki inbox kwa maelezo zaidi na bei, nauza kwa piece...
Kiwanja cha square metres 592,kinauzwa 15M..kipo mbezi msumi 'C'...,kina miti ya miembe na ni tambalale...!
Kina umbali wa dak 2-3 kutoka barabarani (main road..) only seriously buyer's...check on...
Wadau nahitaji external hard disk bei ni maelewano pesa ipo cash .. msingi uwe dar au shinyanga mjini , ikiwa na maana kwa dar ni rahisi kufanya biashara maana nina connection pia shinyanga kuna...
Ni simu bomba kwa bei poa kabisa ukumbuke simu hizi ni mpya Full Box yaani unatoa ganda mwenyewe. Kwa mawasiliano 0652971495
Mate 10: 64gb...1,130,000
Mate Pro 128gb...1,200,000...
Habari wakuu,
Nauza majiko ya kisasa yanayotumia mkaa kidogo kutoka kampuni ya burnstoves.
Yapo matatu na kila moja nauza Tshs.100,000/= kama una pungufu unaongea.
Nipo Dar es Salaam,
Namba...
Habari wanajukwaa,
Nauza simu aina ya Samsung galaxy grandprimes plus. Simu ni used.
Sifa zake:
1. Ina kioo cha inchi 5
2. Memery ya ndani GB 8
3. R.A.M 1.5GB
5. Kamera ya nyuma 8MP,ya mbele 5 MP...
Punguzo la bei katika msimu huu wa Pasaka, pata Business Cards Pcs 100 kwa 15,000/- tuuu...
Tunapatikana Kariakoo, mtaa wa Kongo na Kariakoo, karibu na mgahawa wa Madina.
Piga simu au Whatsapp...
Kwa Wakazi wa Tanga
A. Pata vifaranga vya kuroila
1: kifaranga cha siku 1800
2: Kifaranga cha wk 2,500
3: Wiki mbili 3,000
B: Vifaranga vya kuchi mdomo kasuku
1: mwenzi 50,000
Waho...
Habari,
Tunakushauri kuwa muangalifu ili kuepuka utapeli wa mitandaoni. Kamwe usitoe PIN (namba yako ya siri) au namba yako ya akaunti ya benki kwa mtu yeyote au sababu yoyote ile. NMBKaribuYako.
Sina hofu na afya zenu, natumaini mko wazima , ni salama na amani.
Kama kichwa kinavyosomeka, shida yangu ni kujua bei halisi ya matrekta kwa kuainisha aina zake na uwezo wake.
Mfano-Massey...
Ni simu bomba kwa bei poa kabisa ukumbuke simu hizi ni mpya Full Box yaani unatoa ganda mwenyewe. Kwa mawasiliano 0652971495
Mate 10: 64gb...1,130,000
Mate Pro 128gb...1,200,000...
Heshima kwenu wote.
Nauza external hard drive aina ya WD Elements mpya kabisa kwenye boksi,yenye uwezo wa 750GB made in Malaysia.
Bei 175,000/=net
Inapatikana Tanga mjini.
Ikiwa unahitaji...
*Bei 185,000
*Risiti zake zote bado zipo
*8 mega pixel front camera
*13 megapixel back camera
*INTERNAL MEMORY 16 GB
*Finger sensor touch
*RAM 1 GB
*Colour Black
*Location Dar es Salaam...
TUNAUZA NAZI KWA BEI YA JUMLA
NAZI KUTOKA KUSINI (LINDI & MTWARA) NAZI BORA ZILIZOKOMAA
UKIAGIZA NAZI KUANZIA 1000 TUNAKUSAIDIA KULIPA USHURU.
NB: TANGAZO LIMEANDIKWA TAREHE 23/3/2018 BEI YA NAZI...
Habari wana jamvi....
Please to recommend Sound/ Music System ya ukweli nayoweza nunua hapa Bongo land na duka lipi hasa + bei...
The system should support current and future (about +5 years to...
Kuku Tanga inakuletea punguzo la bei Kwa kuku chotara Aina ya kuroila.
Bei zetu nii
1: Tsh 1,800 Kwa kifaranga cha siku moja.
2: 2,500 Kwa wk moja
3: 3000 Kwa wk mbili
4:3,500 Kwa wk tatu...