Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari ya muda huu.. Nahitaji kupata sehemu ya kuishi Mwanza mjini kwa muda wa mwezi mmoja mpaka mwezi mmoja na nusu kwa ajili ya kazi fulani inayonipeleka huko. Sio mwenyeji sana wa mji wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Husikeni hapo juu kama una kontena wasiliana nami kwa 0738579574.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Price: 500,000/= Washing Programmes: 5 Wash Load: 6.0 Kg Type of Washing Machine: Fully Automatic Control Type: Silver Nano Display Type: Digital display Loading Type: Top Loading Contact...
1 Reactions
101 Replies
22K Views
Natafuta chumba na sebule vya kupanga maeneo ya kimara,isiwe mbali sana na barabara . Self, tiles,maji, umeme wa kujitegemea,ikiwa kwenye fence itapendeza zaidi,
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kichwa cha habari chajieleza, Kuna nyumba imeishia kwenye lenta inauzwa sh. Milioni 18.5 kiwanja kina ukubwa Wa upana mita 15 na urefu 19. Nyumba ipo kigamboni. Picha yajieleza hapo kwa undani...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ndg zangu nina uhitaji wa mfanyakazi wa ndani sana sana..nipo serious katika hili kwani kwa sasa katika familia yangu kuna majukumu machache yametuelemea mimi na mke wangu hivyo akiwepo mfanyakazi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunahitaji kampuni inayotengeneza box kwa ajili ya ku pack matunda Mbali mbali kwa ajili ya kusafirisha kwenda sokoni,nifanye in box kwa mawasiliano
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Nyumba ipo maeneo ya Chamwino mwishoni karibu na Modeko. Ina vyumba 11 kwa ajili ya kupangisha. Ina hati na kiwanja kimepimwa, maji na umeme vipo na havikatiki 24hrs maana line yake inatumia...
2 Reactions
44 Replies
7K Views
Pikipiki inauzwa Location: mwanza Aina: sunlg 125 Bei : 1M Nipm kwa maelezo zaid.
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Tunanunua vitabu vya zamani. 1. Viwe kwa lugha ya kiingereza vilivyochapishwa Marekani au Uingereza miaka ya 1970 kurudi nyuma. 2. Viwe ni toleo la kwanza (first edition) 2. Visiwe vitabu vya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu Naomba mwenye app ya tv za nyumbani Hasa SUA tv, atn, fire TV, Natanguliza shukurani.
0 Reactions
0 Replies
684 Views
uyo jama shenzi type kweli kaingilia love life ya boss wake Diamond .. kabla ata hajafukuzwa rasmi ...kakimbilia instagram kuwadanganya watu eti ameacha kazi ... kwani kuachishwa kazi si kawaida...
0 Reactions
1 Replies
551 Views
Habari wakuu! Nina tangawizi takribani tani 50 na itakuwa tayari kufikia mwezi wa tano ni wapi naweza kupata soko zuri?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza viwanja @meter 50 urefu upana 25 (square meters 1250) bei Tshs 500,000 ( laki tano) Viwanja vipo Eneo la Makurunge- Bagamoyo unaingia km 15 kutoka barabara kuu ( Bagamoyo- Msata) na njia ya...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
  • Closed
Poleni kwa majukumu ndugu zangu, ninauza shamba langu ukubwa wa heka 1.5 kwa Tsh. 2,500,000/= Shamba liko Bomang'ombe karibu na kituo cha Kwa kiliwe kama unaelekea Moshi, shamba ni langu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Salaam, napenda kujua ni sola ipi nzur nitumie kwajili ya matumiz ya nyumban , nipo mwanza. Ahsanteni.
0 Reactions
6 Replies
14K Views
Tafadhali yeyote mwenye kioo cha simu hii au hata simu ya aina hii iliyokufa vifaa vingine anijulishe. Ni Muhimu sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinajieleza kwa yeyeto anafaham wapi naweza kupata hizi mashing tuwasiliane... Asanteni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Location: Kinyerezi, kibaga Plot size: square meter 920 ( 24meter × 40m) Facilities available: water supply, electricity and maintained road Nature of geographical plot: plane surface with...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Monitor flat screen Hdd 500Gb Ram 2GB Contacts:0753595520
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…