Wakuu habari zenu?? Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu. Ningependa kujua ni sehemu gani kwa hapa Tanzania naweza kupa hiyo Fuel pump ya Vokswagen Touareg, iwe mpya au used?? Nipo Dar es...
Salaam.
Ninauza nyumba yenye vyumba vinne viwili ni master sebule kubwa 16sqft dining jiko na servant room jikoni.
Nyumba haijafanyiwa fining ndogo ndogo
Pia nyumba ina garden, shamba dogo (incase...
Wadau naomba kupata msaada wa soko la muhogo. Nimelima muhogo natarajia kuanza kuvuna mwezi wa sita na wa saba. Shida Yangu ni kupata soko ambalo litaniwezesha kuuza kwa pamoja.
Ndugu mwanajamii, kutana na jopo la mafundi waliobobea katika masuala ya rangi za majumba, katika uchanganyaji, ku design pamoja na kufanya skimming.
Kazi zetu ni za uhakika, hasa tunapo fanya...
Jipatie unlimited data ya mwezi mwaka miezi 3 mwezi mmoja
Km unahitaji huduma hii nitafute WhatsApp' no 0625672871
Internet hii INA speed hadi mb 5 kwa sekunde tumia wew hadi GB 20 kwa siku ni...
Iko Wazo-Mivumoni Dar es Salaam.
Iko ndani y6a gate inajitegemea na kuna wapangaji watano kila mtu anajitegemea kwa kila kitu japo ndani ya gate moja.
kuna parking ya kutosha magari manne.
kila...
Wadau,
Mimi natumia kingamuzi cha star times tangu vimefika ila sasa ujio Wa vingamuzi Vingi unanifanya niwe na ham ya kujaribisha vlinguine.
mimi Sina hobby na Mpira ila napenda sana world news...
Amana bank ni benk inayofuata misingi ya kiislam ambapo hukopesha bila kutoza riba kama uislamu unavyoamrisha. Bank hii inakopesha bila kubagua dini kwani inatoa huduma kama bank zingine...
Habari wakuu Naomba msaada wa kufahamu kama kuna mtu anauza hizi bidhaa au anapajua zinapopatikana itakuwa vizuri sana akinisaidia maelezo#Bei.Ahsanteh
Matumizi;Ni dye kwa ajili ya nguo mf.Jeans...
Nakumbuka nikiwa Dar es Salaam, maeneo ya karakata jirani na uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere, chumba nilicho kuwa naishi kilikuwa na utitiri wa mbu ambao walikuwa wana shambulia sana...
Wakuu nauza kiwanja changu japo kwa bei ya hasara,kipo Chanika-Zingiziwa,ukubwa wake ni kama ifuatavyo:urefu mita 18 upana mita 12,kwa maelezo zaidi nicheki pm au kwa no 0625627164 au 0714260266
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.