Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Dell ya Aina hiyo inahitajika Urgently, Ram 4GB, Processor 1.5 na HDD 500GB. Nicheki kwa namba hii faster; 0759534596
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Wakuu habari zenu?? Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu. Ningependa kujua ni sehemu gani kwa hapa Tanzania naweza kupa hiyo Fuel pump ya Vokswagen Touareg, iwe mpya au used?? Nipo Dar es...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salaam. Ninauza nyumba yenye vyumba vinne viwili ni master sebule kubwa 16sqft dining jiko na servant room jikoni. Nyumba haijafanyiwa fining ndogo ndogo Pia nyumba ina garden, shamba dogo (incase...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Poleni na majukumu! Nahitaji hii machinel..je ntaipata wapi?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naomba kupata msaada wa soko la muhogo. Nimelima muhogo natarajia kuanza kuvuna mwezi wa sita na wa saba. Shida Yangu ni kupata soko ambalo litaniwezesha kuuza kwa pamoja.
0 Reactions
21 Replies
10K Views
brand : hp Processor: intel core i5 6440HQ Ram : 8 gb Storage : 1 tb Graphics card : nvidia gforce gtx 960m 15 .6 " hd screen. Price 1m 0769 524 022 mobile 0784 81 25 19 watsup. Used...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ndugu mwanajamii, kutana na jopo la mafundi waliobobea katika masuala ya rangi za majumba, katika uchanganyaji, ku design pamoja na kufanya skimming. Kazi zetu ni za uhakika, hasa tunapo fanya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jipatie unlimited data ya mwezi mwaka miezi 3 mwezi mmoja Km unahitaji huduma hii nitafute WhatsApp' no 0625672871 Internet hii INA speed hadi mb 5 kwa sekunde tumia wew hadi GB 20 kwa siku ni...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Kwa mwenye kuhitaji bidhaa hiyo nitafute kwa bei poa kabsa. Zipo za kutosha
0 Reactions
3 Replies
866 Views
Nauza vitenge org na handbags za kisasa.. Deliver ipo kwa dar na mikoani natuma Call or whatsapp 0688 557 500
1 Reactions
1 Replies
892 Views
Iko Wazo-Mivumoni Dar es Salaam. Iko ndani y6a gate inajitegemea na kuna wapangaji watano kila mtu anajitegemea kwa kila kitu japo ndani ya gate moja. kuna parking ya kutosha magari manne. kila...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wadau, Mimi natumia kingamuzi cha star times tangu vimefika ila sasa ujio Wa vingamuzi Vingi unanifanya niwe na ham ya kujaribisha vlinguine. mimi Sina hobby na Mpira ila napenda sana world news...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Amana bank ni benk inayofuata misingi ya kiislam ambapo hukopesha bila kutoza riba kama uislamu unavyoamrisha. Bank hii inakopesha bila kubagua dini kwani inatoa huduma kama bank zingine...
4 Reactions
169 Replies
55K Views
14.1 mega pixels Bei 100000 0742128690
0 Reactions
3 Replies
754 Views
Habari wakuu Naomba msaada wa kufahamu kama kuna mtu anauza hizi bidhaa au anapajua zinapopatikana itakuwa vizuri sana akinisaidia maelezo#Bei.Ahsanteh Matumizi;Ni dye kwa ajili ya nguo mf.Jeans...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nakumbuka nikiwa Dar es Salaam, maeneo ya karakata jirani na uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere, chumba nilicho kuwa naishi kilikuwa na utitiri wa mbu ambao walikuwa wana shambulia sana...
1 Reactions
33 Replies
7K Views
Wakuu nauza kiwanja changu japo kwa bei ya hasara,kipo Chanika-Zingiziwa,ukubwa wake ni kama ifuatavyo:urefu mita 18 upana mita 12,kwa maelezo zaidi nicheki pm au kwa no 0625627164 au 0714260266
0 Reactions
0 Replies
783 Views
Wadau nahitaji kujuwa soko la dagaa uono waliyokwisha anikwa(dagaa wa baharini)
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamii forum nauza kiwanja changu kitonga mbande being nafuu sana, kwa mawasiliano piga 0719 252523
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Kwa anaehitaj mkopo wa pesa tunakoposha sharti ni kadi na gar na huo mkopo riba asilimia 30.
0 Reactions
51 Replies
7K Views
Back
Top Bottom