Tafuta products za mjerumani kuanzia battery,panel,inverter,taa n.k, ni imara sana mi mwaka wa tatu huu natumia solar. Nimeshasahau bei ya unit ya umeme wa tanescoSalaam, napenda kujua ni sola ipi nzur nitumie kwajili ya matumiz ya nyumban , nipo mwanza. Ahsanteni.
Ili ujue ni solar ya size gani utaihitaji,itabid ufanye yafuatayoSalaam, napenda kujua ni sola ipi nzur nitumie kwajili ya matumiz ya nyumban , nipo mwanza. Ahsanteni.