Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Chumba chenye hali nzur 0713099309
0 Reactions
0 Replies
669 Views
Habari za jioni wanajamvi Niliona wale SUMA JKT kwenye TV wanatengeneza miradi ya ufugaji samaki kwenye matenki ni technologia nzuri niliipenda ila bahati mbaya hawakuweka namba zao za simu naomba...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Kiwanja kina ukubwa wa 25 kwa 25,kuna barabara za mtaa na open space.Kipo Mapinga.Milioni 5 na nusu...karibu PM
0 Reactions
9 Replies
1K Views
nilinunua kimakosa haiko supported kwenye mac kama uko serious ni pm bei 20k logistic jinsi ya kuipata tutaongea karibuni. Ni 4G.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu poleni na mihangaiko ya hapa na pale ya kujikwamua na maisha haya ya kukaza kwa vyuma... Niende katika kusudio langu, nahitaji chumba na sebule mitaa ya buza kanisani. Bajeti...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari wandugu nilisikia kuna kampuni ya Wakorea fulani hivi wanakopesha mashine za kutolea photocopy lakin sijajua vizuri wako wapi naomba anayejua anisaidie au kama kuna kampuni inafanya hyo...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa ambaye anayopower supply tuwasiliane weka na bei 0752048709 model mpya 2 dual-core njia tatu
0 Reactions
5 Replies
996 Views
Mbao ngumu(mninga) 4" kwa 6" Tsh 130,000/= Dsm.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari Wakuu Nina Bajet ya laki nne (400000) Nahitaji Simu yenye Sifa zifuatazo Storage..ianzie 32GB RAM... Ianzie 3GB Nipo kanda ya ziwa.. Karibuni.
0 Reactions
4 Replies
815 Views
Habari akina kaka,natafuta mtu wa kufanya subtittles za English kwenye video ya kiswahili aje PM niwekee mawasiliano yako,
0 Reactions
2 Replies
719 Views
Habari wanabodi natumaini wote ni wazima wa afya njema, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu karibu utanganze biashara yako na kulunzifikra media kwa bei nafuu kabisa kama kweli unataka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habar... ninauza Nissan patrol yangu kwa bei rahisi sana. Lakin pia kama una gari ndogo ambayo uko kwenye hali nzur tunaweza kuelewana tu. Gari ina tatizo kidogo kwenye bodi so inahitaji repairs...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nyumba ni mpya, ina miaka miwili tu toka imejengwa. Location: pugu (kinyamwezi) Plot size: sqm 1600 ( 40×40) Three bedrooms (one of them is master bedroom) Dining room, sitting room, public...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Habarini wanaJF, Kama heading inavyosomeka. Hisa za kampuni ya TFA zinauzwa, zipo hisa 960 na kila hisa moja ina thamani ya Tshs 10,000/= Kwa yeyote anayehitaji, please just PM Me tuongee..
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana jf L8 Lite 5-Inch IPS (1GB Ram, 16GB ROM) Android 6.0 Marshmallow, 8MP real camera+ 2MP front camera, ina support games zote kubwa,fast browsing, Kwa upande wa juu Kulia Ina crack...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Habari! Modem ya Tigo inauzwa Tsh.12000/=tu,mawasiliano 0673269820.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, poleni na majukumu. Nipo hapa kwa niaba ya jamaa zangu walio na kikundi chao kinachohusika na ufugaji nyuki kwa ajili ya asali. Kwa msimu wa mavuno wa mwaka huu unaotarajiwa kua na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza viti vya ofisini, unaweza kuvipandihaha juu na kushusha, vingine unaweza ku tilt back, bei kuanzia, sh 150000.Contact 0712652110 Majohe Dar
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom