Kama unahitaji Viwanja Goba & Goba Kinzudi tuwasiliane 0675107182.
Vipo Vya Ukubwa tofauti kuanzia,
Square Mita 400 na Kuendelea.
400Sqm Kipo Cha Kuanzia 15 Milioni na 10 Milioni .
***** Your...
The fast growing company in Town is near to you, You may request health and good food services from us. We made the Test your dreaming to meet one time.
Our company is offer Lunch and Dinner you...
Habari za asubuhi wadau.
Kama kichwa kijielezavyo hapo juu, ninaomba msaada kwa anayejua soko la kuuza asali. Ninayo asali kwa wingi ya nyuki wakubwa lakini tatizo ni soko sijui niipeleke wapi...
Ukubwa wa Kiwanja : 20 × 18 ( Sqm 360 )
• Kina hati ya Serikali ya Mtaa
• Kipo Kilomita 1 Kutoka Salasala Mwisho wa rami.
• Bei Tsh 8,000,000
(( 0685917621 ))
Kiwanja Kimepimwa Kina hati.
Ukubwa wa Kiwanja ni 3500sqm ( ekari 1 Kasoro )
Kipo Kilomita 2 kutoka Salasala Mwisho wa rami.
Bei Tsh 40,000,000/- ( Maelewano yapo )
((( 0685917621 )))
Habari zenu!
Naomba msaada wa kupata designer mazuri wa suti lakini pia mshonaji mzuri, Kwa yeyote anayemfahamu naomba unipe taarifa zake kuna offer ya kushona na kudesign nzuri hapa.
Ahsanteni...
Kama unaujenzi maeneo ya Dsm na Pwani na Morogoro kwa wale wa Jumla na rejareja na mikoa mingine kwa Jumla tu, jipatie hizo bidhaa hapo juu kwa bei nafuu kabisa.
Tunakufikishia mpaka mlangoni au...
mwasi electronics tuna lekebisha vifaa vya umeme kama tv ainazite redio sabu ufa spika redio za magari ainazotetunafunga mziki kwenye magari tunafunga kamera za ulinzi maoficni godown nyumbani...
Habari wakuu Naomba msaada wa kufahamu kama kuna mtu anauza hizi bidhaa au anapajua zinapopatikana itakuwa vizuri sana akinisaidia maelezo#Bei.Ahsanteh
Matumizi;Ni dye kwa ajili ya nguo mf.Jeans...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Bajeti yangu ni laki 3. Iwe inchi 32 brand name yoyote ili mradi nzima na kwenye hali nzuri kabisa ingawa mpya pia itapendeza zaidi!! Vyuma vimekaza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.