Natafuta gari ya kukodi kwa matumizi binafsi ndani ya mji wa Dar kwa muda wa mwezi mmoja.
Gari inayohitajika isiwe zaidi ya cc 2000.
Ikiwa mmiliki atapenda gari itafungwa car track ili aweze...
VIWANJA_VILIVYOPIMWA_VINAUZWA
Eneo vilipo ni KIGAMBONI MWASONGA (mkamba) mbele ya DAR ES_SALAAM ZOO.
Bei zetu ni nafuu mno ni chini ya milioni 3.9. Viwanja vina ukubwa wa 20 kwa 30. Karibuni...
Habarin za jion jaman. Ninahitaj kufungua biashara, hivyo nahitaji viti vya plastic Ambavyo tayar vimeshatumika, kwa mwenye kuwa navyo au anafaham aliyekuwanavyo anisaidie tafadhal.
Specification zake
5.5-inch IPS Display, 1080 x 1920 pixels (400ppi)
1.5GHz octa-core Mediatek MT6750T CPU with 2GB RAM
Android 7.0 (Nougat) with HiOS 2.0
16GB Storage with support for memory...
Hello Jf members, natanguliza heshima mbele. napenda kuwatahalifu kuwa tumeanza uzalishaji wa unga wa muhogo katika kiwanda chatu eneo la Bungu Rufiji, katika mchakato mzima wa uzalishaji...
mimi ni mwanafunzi..chuo kikuu cha kilimo sokoine (SUA)..natafuta wafugaji wa nguruwe wanaofanya shughuli zao manispaa ya morogoro..ni kwa ajili ya utafiti wa kitaaluma (academic research)...
Habari, Mimi ni mkazi wa dar es salaam, najihusisha na biashara ya parachichi na matunda mengine kutoka mkoani jumla na reja reja, naleta kwa order, naomba msaada zaidi kwa soko la parachichi na...
wakuu mwenye kujua printer zinazouzwa tsh. 100,000 hadi 110,000 anijuze. pia asisahau kunijuza aina ya printer(specification) pamoja na duka zinapouzwa.
Eneo lipo pazuri sana na panafaa matumizi ya kiwanda, godaun, Hospital nk
Zipo karibu na barabara
Bei 550m
Maongezi na mawasiliano zaidi wasiliana nami kwa :-
0756060183
Lenovo T420s
RAM 4GB
HDD 320GB
CORE i5
Bei 450000/=
********
HP Core i5
RAM 4GB
HDD 320
Bei 410000/=
******
Zipo na nyingine nyingi hadi za bei ya chini yaani 280k
Dell, lenovo, HP
Tuwasiliane...