Msaada soko la parachichi.

Msaada soko la parachichi.

shule e

Member
Joined
Oct 19, 2016
Posts
28
Reaction score
23
Habari, Mimi ni mkazi wa dar es salaam, najihusisha na biashara ya parachichi na matunda mengine kutoka mkoani jumla na reja reja, naleta kwa order, naomba msaada zaidi kwa soko la parachichi na mastaferi. Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom