Habar za saizi members hii ni Ofa kabambe kwa wenye biashara zao yaani tsh 3000 tu kwa tangazo Moja ambapo naweka matangazo kwenye account yangu ya Facebook ijulikanayo Daud Augustine hii akaunt...
Mtu anakutumia sms ya uganga na unapiga inapatikana hiyo namba imesajiliwa kabisa na anapokea vyombo husika mna kazi gani sasa iwapo watu wanalalamika humu na wamiliki wa namba izo za utapeli...
Habari ndugu msomaji. Hii ni habari njema kwako kama unahitaji kujifunza upigaji picha kitaalamu zaidi au unataka kujiendeleza katika fani ya upigaji picha.
Tunakuletea KOZI fupi ya mwezi mmoja...
Habarini Wadau,
Najua hivi viatu vipo madukani ila sikuhizi vingi sana ni fake...kuna mgeni wangu nipo naye anaviulizia sana hasa Black & Brown
Kuna yeyote anaweza kunisaidia namna ya kuvipata...
Kama nilivyoeleza hapo juu, Luna hii mifuko maarufu kama sulphates, inatumika kuhifadhia mazao, ninatafuta ama kiwanda au muuzaji was jumla, nahitaji zaidi ya PCs 1000
Kwa anayefahamu pls naomba...
Tunauza Kiwanja Salasala Marobo.
- Direction: Kutoka Salasala Mwisho wa rami hadi kwenye Kiwanja ni Kilomita 2.
- Ukubwa wa uwanja ni 400sqm.
- Una leseni ya Serikali ya Mtaa
- Umeme Upo
- Bei...
kwa wale trader wanaotaka kutrade na FXTM soon watakuwa na seminar buree kabisaa akuna mambo ya fees hapa jiunge ufungue account kwa maelezo lini na saa ngapi
Online Forex Trading Broker |...
Jana nilitangaza kuuza pikipiki yangu,,asanten kwa wote mlionishaur naambatanisha na picha,,pikipiki ipo posta karibu na ofisi za bot!! Document zote ninazo,,ina bima lakin third part inaisha mwez...
Mbinu mbalimbali za kupamba keki kwa njia rahisi, kwa vifaa vya kawaida kabisa unavotumia nyumbani kwako. utapata ubunifu zaidi. kwa 2000/= tu (nafundisha ndani ya wiki mbili). Online course kwa...
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kunavojieleza.
Naitaji msaada wa taarifa kuhusu soko la kuku au wanunuaji wa jumra jijini dar es salaam.
Kuku ni wakienyeji toka singida, bei maelewano...
Kowak Girls' High School, shule bora kabisa kwa sasa kanda ya ziwa. Karo yao ni nafuu, in shilingi milioni mbili kwa mwaka na inalipwa kwa awamu nne. Godoro na kitanda, na chakula vinapatikana...
Jamani nahitaji yoyote mwenye gali ndogo kama ist, , Ractis na anaitaji aingize pesa kupitia UBER tuingie mkataba kwa wiki nimletee hesabu ya 200,000 kwa wiki tuandikishane gali iwe kwenye hali...