Ipo Mwananyamala Komakoma Pembeni Ya Kanisa Anglican,lami mpaka mlangoni,kuna parking geti,maji vyumba viwili vya kulala sebule kubwa,jiko choo cha ndani
Nahitaji msichana wa kazi za ndani kutokea kijijini asiwe ambaye ameshakaa mjini umri uwe miaka 22-30 atafanya kazi za ndani kwa uaminifu, mshahara sh 70,000 asiwe mfupi maana wana hasira sana...
Wakuu salama kwa mahitaji ya vyumba apartment fremu za biashara viwanja nyumba zinazouzwa maeneo mwenge hadi tegeta ubungo to mbezi sinza makumbusho mikocheni tuwasilia
viwanja vipo maeneo ya tambarare maeneo ya nzuguni A mbele ya kwa masister..viwanja vina hati ya kijiji..umeme na maji vya kuvuta..viwanja vina ukubwa tofauti tofati..
1.kina ukubwa wa 40*70 bei...
Habiri zenu wadau poleni na majukumu ya kimaisha mimi nahitaji msaada kwa mtu anayefahamu au mkazi wa maeneo husika ya kuwa vyumba vya biashara Maeneo ya morogoro road gharama ya yaweza kua kiasi...
Za Mida Ndugu Zangu..
Nna mtaji kidogo nataka kufanya biashara ya mitumba .nlikua naomba msaada kwa Yoyote anaejua Mahali nnapoweza kupata mabalo na bei za mitumba kulingana na grade zake
Wadau,
Nataka kununua Trekta either kwa kuagiza Nje, au kununulia hapa hapa bongo, kuna mwenye kujua taratibu za importation?
Ni kweli Niki-import hakuna kodi bandarini (exempted) ??
Ni kodi...
Nahitaji computer desktop complete.
Angalau yenye kuanzia specification hizi
Ram: 2+ Gb
Duo core+
Hard disc: 500+ GB
Pia hata ikipatikana CPU peke yake yenye hizo specification, sio mbaya...
Habari,
Husika na kichwa hapo juu,nauza laptop aina ya Dell latitide D630,ipo kwenye hali nzuri kabisa,tatizo ni kwamba nimeshaitumia tu basi,ila kiufundi hakuna kabisa,ruksa kuikagua hadi...
Habar wana jamv mm nihitaji kuanza biashara ya kuuza sigara kwa JUMLA na rejareja sasa naomba mnifahamishe anayejua hizo bidhaa za sigara kwa JUMLA huwa zinapatikana wapi kwa dar na utaratibu...