Kiwanja kinauzwa kipo Tabata Kinyerezi

Kiwanja kinauzwa kipo Tabata Kinyerezi

JMWAKA

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2012
Posts
739
Reaction score
654
Wazima.!

Nauza kiwanja kipo Tabata kinyerezi njia ya lami kwenda mbezi kipo mita 180 kutoka barabarani 20×25 bei yake milioni 12
Mawasiliano
 
Hakina dalali tunaandikishana serikali za mitaa na unaendelea na mchakato wa kupata hati halmashauri
 
mmh! milion 12 kiwanja cha 20x25 halafu hakijapimwa! Not fair jamani mnatutisha sie ambao hatujajenga.
Mkuu kiwanja ambacho kishapimwa 20×25 bei yake imeshuka sana ni milioni 25
 
Njoo nikuuzie kiwanja mbezi msumi bei sawa na bure kiwanja kina ukubwa wa mita 20 kwa 23 .... 5 milioni
 
Viwanja vipo Tabata bunyokwa 20 x20 bei yake milioni 10
 
Kipo Kinyerezi bei milioni 10
IMG_20180502_110554.jpg
 
Bei imeshuka hapa hapa Kinyerezi hiki kinauzwa milioni 5
IMG_20180509_134128.jpg
 
Location Kinyerezi-King'azi
Wilaya ya Ilala
Ukubwa sqmt 25
Bei milioni 6
Mawasiliano 0658183618
IMG_20180509_134137.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom