Kwa yeyote mwenye kabati la Alluminium lenye urefu usiopungua futi 3 nalihitaji kwa matumizi ya duka la vipodozi..
Anayekaa maeneo karibu na Kibaha atapewa kipaumbele ili kuokoa gharama za usafiri.
Wanajumuiya wa jf Nina vitabu kumi tu nahitaji kuprint kwa mji wa dar es salaam eneo gani niweze kupata msaada huo nipo morogoro jumatatu nitakuwa dar es salaam tafadhali mje hapa
Kiwanja chenye ukubwa wa ft 100 kwa 90 kinauzwa eneo la chakenge mtaa wa yange yange,kivule,kitunda,kipo karibu na inapojengwa hospitali ya wilaya ya ilala,kinafikika kiurahisi,kina njia ya mtaa...
Habari zenu wana JF. Nahitaji nyumba simple ya kupanga iwe na chumba kimoja na sebule, self contained (yaani choo na bafu kwa ndani).
Isiwe mbali sana na city center na iwe mpya kidogo. Kuhusu...
Mlioko site hapo kuna mhitaji kataka nimsaidie kufikia hadhima yake hii. Anaomba kujua walioko hapo mjini Bukoba chumba cha kuishi cha standard kwa mwezi ni bei gani na mitaa ipi ya kuishi...
Nauza Earphones original za Samsung nimetoa kwenye simu(baada ya simu ya kwanza kupotea) bei yake ni elf 8 tu(hazijatumika hata siku moja-brand new), pia kuna charger ya Samsung nyeupe na ina...
wakuu nauza nokia asha 302 imetumika miezi mitatu tu! kwaiyo bado ipo ktk halinzuri sana pia haina tatzo lolote. sifa za simu ina #whatsap #Internet 3G camera na mengineyo mengi bei ni sh 75000...
Nina Laptop yang ya HP PROBOOK 450 G2 i5, ilipiga shot motherboard, kwaio inatakiwa replacement ya motherboard, Kwa aliyenayo au akanisaidia shm naweza pata. Pesa ipo mda wwt ukinihakikishia km n...
Wapendwa salama?
Natamani kujenga na kuishi Kigamboni kwa siku za baadae, nilkuwa nauliza naweza kupata kiwanja Kigamboni kwa around 2.5m to 3m?
Na utaratibu wake ukoje?
Nilisikia kuna viwanja...
Wapendwa wateja tunauza mifuko ya brown na tunayo kuanzia kg1 kg2 kg2 nanusu.
Bundle moja kg1 inakaa 115 bundle kg2 inakaa 90 na bundle ya 2 nanusu inakaa 75.
Kwa cartoon kg1 inakaa kg 16 kwa kilo...
We are doing
COMPUTER UPGRADE, REPAIR AND ALL SOFTWARE INSTALLATION (MAC OS & WINDOWS)
Installing Operating Systems
Windows XP, Windows 7, Windows 8, Windows 8.1 and Windows 10(Pro, Home...
Hi nauza simu aina ya Samsung Galaxy S7 edge kwabei poa. Simu hiyo niyamkononi, yani used rangi ninyeuzi mfiniko wagold, kwamaelezo zaidi ntafute kwenye
WhatsApp number +255763403330
Kama tittle ya thread apo juu wakuu naitaji simu used kati ya samsung galaxy s6edge na s6edge+ au samsung galaxy s7 au s7edge.aliyenayo anichek 0655073009
Samsung Galaxy
J1 mini 155,000
J1ace rangi black na Gold 195,000
J2 black and Gold Tsh 300,000.
J3 balck and gold Tsh 355,000.
J5 black n gold Tsh 375000.
J7 black n gold Tsh 489,000...