Habarini wana jamvi
Karibu ujipatie dagaa kutoka Kigoma kwa gharama ya elfu 16 tu kwa kilo, dagaa wanakuwa wameshapakiwa tayari na ninawauza kwa kilo kilo ni wasafi hawana michanga na kwa wale wa...
Habari wana JF.
Jipatie sabuni za Magadi maarufu kama sabuni za Kigoma.
Katoni 1 kwa bei ya jumla ni 30,000Tsh inakaa mishe 20.
Rejareja tunauza kuanzia miche 5 kwa bei ya 2,000Tsh kwa mche...
Kama ni mtengenezaji wa bidhaa za urembo nakukaribisha kununua bidhaa zifuatazo kwa jumla na rejareja
Shea butter jumla 60000 kg 1
Black soap kg 1 60000
Coconut oil lita 1 40000
Kwa rejareja...
Je unasumbuliwa na mapunye au chunusi za mda mrefu?
Basi solution lako ni shaza soap,sabuni kutoka burundi ambazo zimetengenezwa kutoka nchini burundi zenye mchanganyiko wa flavour ya lemon,zenye...
Hizi zinaleta muonekano wa tofaut ukiwa ndani kwako..
Wallpaper roller moja ni tshs 35000
Gundi yake 10000
Ufundi 15000 kwa roller
Vipimo:hii ina mita 10 urefu upana cm 50 sasa hapa inategemea...
Jameni wandugu naomba kufahamishwa bei ya mafuta ya mawese dumu LA ltr 20 kutoka mkoan mbeya pale sokomotola au mwanjelwa Sido kwa anaye fahamu tafadhari
Nauza viwanja viwili kwaajili ya makazi.
- Kimoja kina Ukubwa wa 33 x 20 na cha pili 30 x 30
- Vipo wilaya ya Hai (Bomang'ombe-Kwa wasomali) km 1 kutoka Barabara kuu ya Moshi - Arusha
-...
Hi!
Ninahitaji laptop at affordable price lakini yenye specifications zilizoenda shule. Bajeti yangu 500K.
Specs ziwe: Processor: Intel core 5i or 7i
RAM: At least 8 GB...
Kichwa cha habari tayari kimejitosheleza nahitaj tiv flat screen kuanzia NCHI 32 NA kuendelea' isiwe ya wizi nataka tubadilishane matatizo'
Mwenye tatizo na pesa na mimi mwenye tatizo la tiv