Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,380
Habari wanazuoni wa jukwaa la elimu
Najaribu kujiuliza tuu.......
Hivi bado kuna wanafunzi wameomba udahili wa Course za Education tena Arts?????
Na changamoto zote hizi kwenye Tasnia ya Ualimu tena ajira zilivyokuwa ngumu hasa kwa walimu wa sanaa na Sayansi ya jamiii bado kuna watu wanenda kupoteza muda na pesa kusomea ualimu???
Nikifikiria kuwa kuna watu ni mwaka wa 4 sasa ajira za ualimu hazieleweki, watu wamejiajiri katika ualimu lakini Holaaaaaa. Tusheni zenyewe ndo zimefutwa.
Bado kuna mtu anenda kweli kusoma mika mitatu BAED?????
Hivi kweli unataka uniambie hawaoni Course kama, IT, Procurement, BA, Marketing na nyingine za kawaida mapaka wakasome ualimu??
Mimi binafsi nawasikitikia sana. Japo hata hizo course nilizozitaja zina changamoto lakini sio kama za ualimu.
Najaribu kufikiria tuu. Naomba nisihukumiwe. Ila kama na wewe una fikra zako ni bora kutashirikishana
Najaribu kujiuliza tuu.......
Hivi bado kuna wanafunzi wameomba udahili wa Course za Education tena Arts?????
Na changamoto zote hizi kwenye Tasnia ya Ualimu tena ajira zilivyokuwa ngumu hasa kwa walimu wa sanaa na Sayansi ya jamiii bado kuna watu wanenda kupoteza muda na pesa kusomea ualimu???
Nikifikiria kuwa kuna watu ni mwaka wa 4 sasa ajira za ualimu hazieleweki, watu wamejiajiri katika ualimu lakini Holaaaaaa. Tusheni zenyewe ndo zimefutwa.
Bado kuna mtu anenda kweli kusoma mika mitatu BAED?????
Hivi kweli unataka uniambie hawaoni Course kama, IT, Procurement, BA, Marketing na nyingine za kawaida mapaka wakasome ualimu??
Mimi binafsi nawasikitikia sana. Japo hata hizo course nilizozitaja zina changamoto lakini sio kama za ualimu.
Najaribu kufikiria tuu. Naomba nisihukumiwe. Ila kama na wewe una fikra zako ni bora kutashirikishana