Hivi bado kuna watu wanasoma Education?

Hivi bado kuna watu wanasoma Education?

Mi nashauri mtu asome kile anachokipenda kama education ni fani anayoipenda akasome ila usisome kwa focus ya urahisi wa ajira mkuu soma maliza njoo kitaa pambana na hali iliyopo thats all for me nachukia hiyo koz but naiheshimu sana
 
. infact kusoma ualimu wa arts kwa sasa hailipi labda baadae huko itatokea Trap yaan walimu wa arts watakosekana kabisa
Hili tatizo anatokanalo magufuli koz waalimu bado wanahitajika sana wawe na subira tu na wajiandae kiakili kusota mpaka jamaa amalize muda wake baada ya hapo watatafutwa ka pesa
 
Hzi ni siasa tu, acha watu wakapate elimu ili waje waitumie mtaani, hata hizo kozi za IT, procure, marketing still is a challenge..

Acha wapate cheti waje mtaani wapambane... time ikifika hata kama ni miaka kumi mbele watapata tu wanachokihitaji
 
Kwahiyo Watu Wote Wafungwe Uzazi Wasizae Tena au?
Au Hawa Madogo Wanaozaliwa Kila Kukicha watu Watakapoacha Kusomea Uwalimu Utakuja Kuwasomesha Wewe?
Acha Ukauzu Bhana Taifa Lisilo la Na Waalimu Ni Taifa la Wajinga na Mambumbumbu.
 
Daaaa mie nimehitimu sayansi ya hesabu nasubiri mkuu atoe tamko LA kuajiri mwakani......
 
Wapo wengi Sana na Kila mwaka Wana apply kulizisha wazazi sio nafs zao
 
Back
Top Bottom