Kama tulivyoshuhudia Vifo na umwagaji wa damu katika uchaguzi Mdogo uliopita, hali ni tofauti Leo baada ya chadema kujitoa! Mambo yako kimya kimya ni amani tupu utadhania hata hakuna uchagzui Leo.
Hakuna sehemu yaliporipotiwa mauaji au umwagaji wa damu, kuanzia kipindi cha kampeni hadi Leo siku ya uchagzui
Hongereni chadema, kujitoa kweni kumeepusha mengi hasa kwa RAIA wasio na hatia
Nawakumbhusha jamani Leo ni uchaguzi wa mfumo wa chama kimoja, maana wengi hamkuwa na taarifa
Hakuna sehemu yaliporipotiwa mauaji au umwagaji wa damu, kuanzia kipindi cha kampeni hadi Leo siku ya uchagzui
Hongereni chadema, kujitoa kweni kumeepusha mengi hasa kwa RAIA wasio na hatia
Nawakumbhusha jamani Leo ni uchaguzi wa mfumo wa chama kimoja, maana wengi hamkuwa na taarifa