Going back to my wife

Godee jr

JF-Expert Member
Apr 17, 2012
1,790
2,386
Yes. Tuliishi wote zaidi ya miaka mitano na tukabahatika kupata mtoto mmoja lakini baadae tukaachana baada ya kutofautiana tabia.

Imepita zaidi ya miaka mitatu tangu tumeachana lakini sasa nimeamua. I dont want wakuite single mother anymore. I am coming back to you my dear wife tumlee kidume wetu pamoja na tujenge maisha yetu ya sasa na ya baadae.

Sijali mahusiano uliyopitia baada ya kuachana na mimi nmaana hata mimi nimekuwa na mahusiano pia.

Umri unakwenda na wanawake wote ni sawa tu. Ni bora kuishi na wewe ambae nayajua mapingufu yako kuliko kuanzisha mahusiano mengine.

Naombeni wakuu muige mfano wangu. Sio sifa kuwa na watoto wengi huku kila mmoja akiwa na mama yake, tupambane na mahusiano yetu.

Usiku mwema




Updates
Baada ya kumshawishi sana mzazi mwenzangu kuhusu kurudiana naona bado hajawa tayari.


Sasaaaaaaaaaaa
Naombeni ushauri kwenu wadau
Nifanyeje ili huyu mwanamke ajue kuwa kweli nahitaji kuwa na familia yangu tena.
Nimebahatika kupata pesa kidogo ambayo pia nilitaka kufanya investment ambayo yeye a akuwa msimamizi lakini bado nasita maana hajaeleweka pia.

Nawasilisha mkuu
 
safi sana mkuu .kama mungu alipanga muwe pamoja ni swala la muda tu itakuwa .ila mpimane magonjwa hasa wewe sikuamini naona ushavurugwa wee hadi umechoka
Nashukuru kwa ushauri wako. Hilo pia limezingatiwa kabisa
 
Yes. Tuliishiwote zaidi ya miaka mitano na tukabahatika kupata mtoto mmoja lakini baadae tukaachana baada ya kutofautiana tabia.
Imepita zaidi ya miaka mitatu tangu tumeachana lakini sasanimeamua. I dont want wakuite single mother anymore. I am coming back to you my dear wife tumlee kidume wetu pamoja na tujenge maisha yetu ya sasa na ya baadae. Sijali mahusiano uliyopitia baada ya kuachana na mimi nmaana hata mimi nimekuwa na mahusioano pia.
Umri unakwenda na wanawake wote ni sawa tu. Ni bora kuishi na weqwe ambae nayajua m,apingufu yako kuliko kuanzisha mahusiano mengine.

Naombeni wakuu muige mfano wangu. Sio sifa kuwa na watoto wengi huku kila mmoja akiwa na mama yake, Tupambane na mahusiano yetu.

Usiku mwema
Duhh kweli umeamua ..sema mm nilichelewa wakwangu akaolewa ..nikiona hivi naumia sana kiona mtoto wangu anavohagaika Mara kule mara huku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duhh kweli umeamua ..sema mm nilichelewa wakwangu akaolewa ..nikiona hivi naumia sana kiona mtoto wangu anavohagaika Mara kule mara huku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu. Nimekaa nikafikiria sasa ni kwa nini mtotot wangu apate shida wakati baba yake nipo. Ni kwa nini mwanangu asiwe na wazazi wake muda wote akifurahia malezi ya pande zote mbili. Ni kwa nini niingie gharama mara mbili ikiwa bado umri wangu mdogo sana. Kwa kifupi nimeumia sana
 
Unatakiwa uwe na wanawake sita na kila mmoja ana watoto wake....

ila sio mbaya Mungu akusaidie kwa hatua uliyofikia...
 
kila la khair ila hapo kwenye kuiga mfano wako ndiyo hapawezekaniki maana wengine wake zetu tuliowaacha kama wewe waliolewa na huko waliko wanayafurahia maisha.
 
kila la khair ila hapo kwenye kuiga mfano wako ndiyo hapawezekaniki maana wengine wake zetu tuliowaacha kama wewe waliolewa na huko waliko wanayafurahia maisha.
Hahahaha. Kama upo kwenye situation kama yangu ndio uchukue ushauri wangu vinginevyo wacha ikupite
 
Back
Top Bottom