Natafuta Kazi Ngumu Sana Lakini Iwe Na Malipo Mazuri.

UMASIKINI BWANA

JF-Expert Member
Oct 17, 2013
942
566
Hi Great Thinkers Leo Nimeamka Na [HASHTAG]#Stress[/HASHTAG] Sana Tubadilishane Mawazo Ni Kazi Gani Ambayo Nikiipata Itakuwa Ngumu Sana Kiasi Cha Wengine Kushindwa Lakini Nitapata Pesa Za Kukidhi Maisha Kama Nyumba,gari Na Miradi.Nawasilisha.
 
Alshabab itakufaa..wanalipa dola 3000 kwa mwezi..Ukijiripua wanakupa dola 5000
 
Hakunaga kazi ngumu,ila kuna kazi za kutumia nguvu nyingi,kuna kazi za kutumia akili kubwa na kuna kazi za kuwa na binu matata za kuongea sasa ukisema ngumu una maanisha ugumu kivip?? Ila ukitaka unayotaka kusanya mawe yapigie kelele mpka nayo yaanze kupiga kelele,,kila ukifanikiwa mshahara milion 2 kwa wiki... Tafuta mawe njoo
 
Back
Top Bottom