Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hi!
1 Reactions
13 Replies
946 Views
Mnipokee wajameni... kuna uzi umenivutia humu mpaka nmeamua kuwa member. Nawapenda jamiiforums members
8 Reactions
230 Replies
13K Views
NATANGULIZA SHUKURANI KWA KUKUBALIWA KUJIUNGA NA JUKWAA NIKIWA NIMGENI JUKWAANI HAPA NAOMBA MNIPOKEE KWA USHIRIKANO MWEMA ASANTENI WAPENDWA.
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Mimi mgeni humu nahitaji wenyeji mnipokee
0 Reactions
10 Replies
952 Views
Tangu ikiitwa jambo forum nilikua naperuzi humu na kusikiliza music, namkumbuka afrodenzi na wengine wengi!
0 Reactions
8 Replies
933 Views
Mimi ni mgeni na baada ya kupitia terms & conditions za JF now nawasikiliza ninyi kunipa vigezo vyenu binafsi.
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Nimekua nikisoma threads mbalimbali humu jamvini kwa muda mrefu sasa. Nafikiri niwakati wakushiriki kikamilifu. Naomba ushirikiano wenu wakuu.
1 Reactions
11 Replies
875 Views
Habari zenu member mpya humu jf nafurahi sana kuwa humu ansanteni sana
2 Reactions
10 Replies
1K Views
1. Sky Eclat 2. Baba Swalehe 3. britanicca 4. The Boss 5. Nifah 6. miss chagga 7. GENTAMYCINE 8. MAWAZO UJENZI 9. Ruttashobolwa 10. Ukwaju 11. pakaywatek
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Mim naitwa nguno Paul ni mgeni hum nipo kwaajil ya kujifunza kuburudika pia kuongeza marafika Nikarbisheni Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za mida hii wana jukwaa, Mimi ni mgeni wenu, Baada ya kukaa muda mrefu kama mchunguliaji tu hapa jukwaani; leo nimechukua hatua moja zaidi na kuamua kujiunga na kuwa sehemu ya wanachama wa...
2 Reactions
57 Replies
3K Views
Wajameni naomba mnikaribishe baada ya kukimbia CORONA KWA MUDA sasa nimerudi jijini Dodoma
1 Reactions
11 Replies
809 Views
Hodi.
0 Reactions
5 Replies
583 Views
Hlw guys hodii humu ndan😊
0 Reactions
1 Replies
791 Views
Ndugu habari zenu mie naitwa Ukuta wa dhahabu ni mgeni hapa katika jamii forums naomba kukaribishwa na wenyeji wa hapa jf pia kunipa ushirikiano na muongozo wa kutumia mtandao huu wa jamii asanten
1 Reactions
7 Replies
1K Views
For long time nimekuwa nikitembelea jf na kusoma baadhi ya post na but kwa sasa nimeamua kukaribia ndani ili nam niweze kuwa miongoni mwa wanao husika kulizungusha gurudumu la jf. Ushirikiano wenu...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Natumaini mko poa wanajamvini wenzangu Nimekuwa mhudhuriaji mkuu wa jf hasa jukwaa la entertainment ,jokes na mengne hivyo napiga hodii kama new member....
2 Reactions
12 Replies
790 Views
Nilikuwa msomaji tu, sasa nimekuwa member, Nawashukuru sana Mods kwa kunikubalia. Wana jf naombeni ushirikiano wenu.
2 Reactions
7 Replies
823 Views
Poa Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
46 Replies
3K Views
For years nimekuwa natembelea Jf kama guest,ila leo rasmi naomba kupokelewa kama mwanafamilia.hopefully nitapata ushirikiano God bless you Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom