Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 1,832
- 3,479
Mnipokee wajameni... kuna uzi umenivutia humu mpaka nmeamua kuwa member.
Nawapenda jamiiforums members
Nawapenda jamiiforums members
😂😂😂 utawezana?Karibu mgeni.kama uko single nishtue,nimewahi mapema,karibu pm
Kabisa,hautojutia😂😂😂 utawezana?
Aya InshallahKabisa,hautojutia
huu ni MTI WA KATIKATI...utayajua mema na mabaya.Mnipokee wajameni... kuna uzi umenivutia humu mpaka nmeamua kuwa member.
Nawapenda jamiiforums members
karibu Sana Kuna kila kitu hukuMnipokee wajameni... kuna uzi umenivutia humu mpaka nmeamua kuwa member.
Nawapenda jamiiforums members
Karibu sana , mama pretty
Embu unisaidie hapa ..
Wewe ni mwanamke huna mtoto lkn ni pretty??
Wewe ni Mwanamke ambaye ni Mama lkn uko pretty?
Wewe ni mwanamke ambaye ni mama mwenye mtoto aitwaye Pretty?.
Wewe ni mwanamke ambaye ni mama mwenye Binti ambaye ni Pretty??.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona una maswali mingi kwani wee ni polisiKaribu sana , mama pretty
Embu unisaidie hapa ..
Wewe ni mwanamke huna mtoto lkn ni pretty??
Wewe ni Mwanamke ambaye ni Mama lkn uko pretty?
Wewe ni mwanamke ambaye ni mama mwenye mtoto aitwaye Pretty?.
Wewe ni mwanamke ambaye ni mama mwenye Binti ambaye ni Pretty??.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema Kocha wa Dunia Mwijuma Muumini mzeee wa mshike mshike sijui nini nini alisemaga kua , kuolewa ni Sheria tu ,Ila kuzaa ndo majaaliwa !!.
Karibu sana mgeni, jisikie uko nyumbaniMnipokee wajameni... kuna uzi umenivutia humu mpaka nmeamua kuwa member.
Nawapenda jamiiforums members
Tia gundi ya mbao hapa !!.Yote majibu hapo .. mama pretty
Hahahahahah aaahh bana sio poa ujue , utafanya nikuzamie Inbobo...
Maana akili yangu muda si mrefu inaenda Kuamini kua
wewe ni mwanamke huna mtoto lkn ni Pretty
au
iamini kua wewe ni mwanamke ambaye ni mama lkn uko pretty....sasa hapa wahenga wakasema "Ng'ombe hazeeki maini"
Uko poa lkn?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahah aaahh bana sio poa ujue , utafanya nikuzamie Inbobo...
Maana akili yangu muda si mrefu inaenda Kuamini kua
wewe ni mwanamke huna mtoto lkn ni Pretty
au
iamini kua wewe ni mwanamke ambaye ni mama lkn uko pretty....sasa hapa wahenga wakasema "Ng'ombe hazeeki maini"
Uko poa lkn?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sanaKaribu sana mgeni, jisikie uko nyumbani
📌📌📌
Hata ivo Mimi kuna MTU kaja speed ohoooo Carlos ,wewe bana ndo Mr.Right nanyota imekuangia wewe..ohoooooo kuna mwanamke uko anakuita !!.kumbe watu ndo wanakaribishwa hivi humu.. ebu niacheni na nnawajua wote humu msnione mgeni mkafikiri jf nmeijua leo