Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Salaam wana Jamii Forum Naomba mgeni mimi mnipokee.
1 Reactions
111 Replies
7K Views
Mimi ni mgeni humu ni mara ya kwanza kabisa kutembelea jami F naombeni mnipokee
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Nafurah kuwemo humu ndani. Tuendelee kujikinga na hili janga.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Watu wangu wa nguvu , kwema lakiniii .. yah yah it's yo boy YuLEboy 001 ..ndo najoin humu Kati .. maana ni muda nilkuw nachek info ,za humu ndani ,atlast nmeamua kujiunga nanyi wakulungwaa ...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Bwana Yesu asifiwe wana wa Mungu. Tumsifu Yesu Kristo. Mwana kondoo ameshinda. Asalaam alequ. Naomba mnipokee mdogo wenu.[emoji40] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Hodii Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nataka badili jina,je ni hatua gan nifuate
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Piga kelelee kwa Simulizi za kweli.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hellow guys new member APA Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
712 Views
Hellow Jamii Forum members,Jamani,nimefurahi sana kuwa hapa.naomba ukaribisho tafadhali.mgeni mie nawasalimu sana
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimekuwa mhudhuriaji mkuu wa jf hasa jukwaa la siasa, hivyo napiga hodii kama new member....
0 Reactions
13 Replies
1K Views
hellow hodi hodi hapa...
0 Reactions
6 Replies
754 Views
Naumri miaka32 mkaz wa dsm Natafuta mke awe na sifa zifuatazo 1. Awe na rangi kidogo 2. Awe mrefu kiasi 3, awe anaumbo no 8 Asiwe mlevi na awe mchamungu km unahisi unahizi sifa njoo inbox Sent...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Hallow,naitwa Simulizi za kweli. Pigaaa kelele moja kwa Simulizi za kweli. Natuma salam kwa memba wote wa JF ujumbe wangu ni Tujihadhari na corona,hivi ni colona au corona maana huku kwetu...
1 Reactions
4 Replies
818 Views
Hellow wana JF wotee, mm ni kijana wa miaka 20 nipo chuo coz ya clinical medicine mwaka wa 2 , nimetembelea TCU nikaona kuja kusoma degree ya medicine MD mpaka uwe na credit ya chemistry ila mm...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Hodii humu ndani ni Mimi mgeni!! Wenu naitaji ushirikiano wa kutosha! Asante
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hodi huku wakubwa. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
870 Views
Wakubwa shikamoo, rika moja mambo vipi, Luhomano hapa mwanajukwaa mpya nimependa kujiunga na jamiiforum kwasababu ni darasa tosha. Shukrani
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hodi hodiii mpk ndani. Habari za humu wandugu?. Naitwa olika ni mgeni humu jf naomba ukaribisho na ushirikiano wenu eeh. Naishi moshi ( nimenawa na maji tiririka na niko na barakoa...
6 Reactions
36 Replies
3K Views
Naombeni mnipokee wenyeji, nimatumaini yangu mtanipa ushirikiano. Ahsanteni.
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom